tag:blogger.com,1999:blog-79148764072566515432024-03-14T01:30:42.740-07:00ELIMU KWANZA TANZANIAElimu ni chanzo cha maarifa, tuipiganie kuiinua kwa faida ya vizazi vyetuAnonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.comBlogger54125tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-53320008104801114832014-03-18T11:04:00.000-07:002014-03-18T11:04:05.839-07:00Airtel yakabidhi Sh Mil 5 Tuzo za Mwanamakuka 2014<div class="post-header">
</div>
<div class="post-body entry-content" id="post-body-5854225776066473692" itemprop="description articleBody">
<div class="post-body entry-content">
<span id="2544506229620954530"><span style="font-family: Verdana,sans-serif;">
</span><span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: medium;">
</span></span><table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9_zC5uREgzxAPaGkxIE76k2DLjlti3el9GWlMMuAQmEWg0yFwTnwt9RSodexdMuBY6osyx5A00Ec5d3TgZRrGxysYnThyiHq9a1QJejRQ3RreIC7YNIacXPXVkwaXdRnpymKMrX9oY8k/s1600/IMG_1695.JPG" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="266" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9_zC5uREgzxAPaGkxIE76k2DLjlti3el9GWlMMuAQmEWg0yFwTnwt9RSodexdMuBY6osyx5A00Ec5d3TgZRrGxysYnThyiHq9a1QJejRQ3RreIC7YNIacXPXVkwaXdRnpymKMrX9oY8k/s400/IMG_1695.JPG" width="400" /></a></span></span></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: x-small;"><span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span id="yui_3_13_0_ym1_1_1395066293532_8051" style="background-color: white; text-align: start;">Afisa Uhusiano wa Airtel, Jane Matinde (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi </span><span id="yui_3_13_0_ym1_1_1395066293532_8041" lang="EN-GB" style="background-color: white; line-height: 18.4px; text-align: start;">Mwenyekiti
UWF na Mratibu wa Mradi wa Tuzo za Mwanamakuka Maryam Shamo wakati
wa hafla ya Tuzo za Mwanamakuka 2014 ambapo Airtel Tanzania ni moja kati
ya Wadhamini wa tuzo hizo ambazo Leila Mwambungu aliibuka mshindi wa
mwaka 2014. Wengine pichani kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa TWB Bi Margreth
Chacha.</span></span></span></td></tr>
</tbody></table>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: medium;">
</span></span><span style="font-size: x-small;">
</span><table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj0G2FpM-9wLWsCTxjR_QIpVSPCFRdDOmbhgS5gazrxovWul0-KyJiaf3eEsWC58oRw8z1ARXSlG9LiT4yZrq1UPbLf0gBrbTgFn5zUuQKgBluiQFR2OLb231pOIzHgrQ1swnbTzwKJlZg/s1600/IMG_1680.JPG" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="266" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj0G2FpM-9wLWsCTxjR_QIpVSPCFRdDOmbhgS5gazrxovWul0-KyJiaf3eEsWC58oRw8z1ARXSlG9LiT4yZrq1UPbLf0gBrbTgFn5zUuQKgBluiQFR2OLb231pOIzHgrQ1swnbTzwKJlZg/s400/IMG_1680.JPG" width="400" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: x-small;"><span style="background-color: white; line-height: 18.4px; text-align: start;">Afisa
Uhusiano wa Airtel, Jane Matinde (kulia) akimpongeza mshindi wa
tuzo ya Mwanamakuka 2014 Leila Mwambungu mara baada ya kutangazwa katika
hafla iliyofanyika Escape One, Mikocheni Dar es Saalam.</span></span></td></tr>
</tbody></table>
<span style="font-size: x-small;"><span style="font-family: Verdana,sans-serif;">
</span></span><table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiBms7gAKxTVud5f-_qV0sLcckwlosMhfmcPCwztMkwx7BOZIl20JsYIVaSiuviWERaG_jc6EhVgfM2lNwhFEXFjnfsFXGFYnc9PhCbBLZN7iDZ9ob0sgFI_qHdlga-If2alSvncNZz2pQ/s1600/IMG_1703.JPG" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="266" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiBms7gAKxTVud5f-_qV0sLcckwlosMhfmcPCwztMkwx7BOZIl20JsYIVaSiuviWERaG_jc6EhVgfM2lNwhFEXFjnfsFXGFYnc9PhCbBLZN7iDZ9ob0sgFI_qHdlga-If2alSvncNZz2pQ/s400/IMG_1703.JPG" width="400" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: x-small;"><span style="background-color: white; line-height: 18.4px; text-align: start;">Mshindi wa Tuzo za Mwanamakuka 2014, Leila Mwambungu akitoa shukrani zake mara baada ya kutangazwa katika
hafla iliyofanyika Escape One siku ya Jumamosi. Kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Wanawake</span><span style="background-color: white; line-height: 18.4px; text-align: start;"> </span></span><span style="background-color: white; line-height: 18.4px; text-align: start;"><span style="font-size: x-small;">Tanzania (TWB) Margreth Chacha.</span></span></td></tr>
</tbody></table>
</span></div>
<span style="font-size: medium;"><span style="font-family: Verdana,sans-serif;">KAMPUNI
ya simu za mkononi ya Airtel, imekabidhi waandaaji wa Tuzo za
Mwanamakuka, Umoja wa Wanawake Marafiki (UWF) kiasi cha Sh. Mil. 5
wakati wa hafla ya utoaji wa tuzo za Mwanamakuka-2014 zilizofanyika
jijini Dar es Saalam, ambapo Leila Mwambungu aliibuka mshindi wa mwaka
huu akiwabwaga washiriki wenzake tisa aliochuana nao.<br />Tuzo ya mwaka
huu ilishirikisha washindi 10, watano wa mwaka 2012 na wengine wa mwaka
2013 kupima mafanikio yao kibiashara baada ya kunyakua tuzo na zawadi ya
fedha katika shindano hilo lililoasisiwa mwaka juzi.<br />Mshindi huyo
aliyekuwa mshindi wa pili wa tuzo za mwaka jana, aliibuka kidedea baada
ya barua iliyoeleza alipotokea, alipo na malengo yake baada ya kushinda
tuzo hiyo kutia fora na kumpa ushindi mbele ya wenzake.<br />Kampuni ya
Airtel, imekuwa ikidhamini tuzo hizo tangu zilipoanzishwa safari hii
ilikabidhi kiasi hicho cha fedha kupitia kwa Afisa Uhusiano wake, Jane
Matinde aliyeeleza furaha waliyonayo kudhamini tuzo hizo kwa miaka
mitatu mfululizo.<br />Matinde alisema Airtel wanajisikia faraja kuona
wamekuwa sehemu ya kuleta mabadiliko kwa wanawake kupitia tuzo hiyo na
kuahidi kuendelea kushirikliana na UWF kuhakikisha mabadiliko hayo
yanawafikia wanawake wengi zaidi nchini.<br />“Tutaendelea kushirikiana na UWF, ili kuhakikisha tunawafikia wanawake wengi zaidi nchini,” alisema Matinde. <br />Kwa
upande wa mshindi wa Mwanamakuka 2014, Leila Mwambungu alisema
amejisikia furaha sana kushinda tuzo hiyo akidai hakuwa ametegemea na
kuwashukuru waandaaji na wadhamini wake na kuomba waendelee kuwasaidia
kuwakwamua wanawake nchini ambao wamejitosa kwenye shughuli za
ujasiriamali.<br />"Naona fahari na furaha kuwa mshindi wa tuzo hizi za
mwanamakuka kwa mwaka huu, napenda kuwashukuru sana waandaaji wa tuzo
hizi kwa kuniona kupitia juhudi ninazoziweka katika kazi zangu na
biashara zangu. Mpaka sasa nimeweza kuajiri watanzania kupitia biashara
zangu. Kiasi nilichozawadiwa kitanisaidia kukuza zaidi mtaji wangu.
Nashukuru sana," alisema mshindi huyo.<br />Naye Mwenyekiti UWF na Mratibu
wa Mradi wa Tuzo ya Mwanamakuka, Mariam Shamo alisema tuzo hiyo
inaendelea kukua na kuzidi kuiboresha na kudai lengo la shindano la
mwaka huu lilikuwa kupima maendeleo ya washindi wao 10 kuona jinsi gani
biashara zao zinavyosonga mbele baada ya kumzawadia aliyefanya vizuri
zaidi. <br />"Tunashukuru sana Airtel kwa kushirikiana nasi miaka mitatu
kwa sasa na tunaamini kuwa bado wataendelea kutoa mchango wao na
kushirikiana nasi na kutuunga mkono kwa miaka mengine ijayo na
kuhakikisha lengo letu la kumwinua mwanamke wa kitanzania linafikiwa,"
alisema Mariam.<br />Washiriki wa tuzo za mwaka huu walikuwa ni Tatu Ngao,
Mwananne Msekalile, Sikudhani Daudi na Nasra Aziz walioshinda mwaka
2012 na Aziza Mbogolume, Leila Mwambungu, Theonistina Renatus, Maajab
Yusufu na Agnes Daudi walioshinda mwaka 2013.</span></span>
</div>
<div class="post-footer">
<div class="post-footer-line post-footer-line-1">
<span class="post-author vcard"></span></div>
</div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-14344743325615154432014-03-17T02:40:00.001-07:002014-03-17T02:47:42.950-07:00Wanawake msiwe tegemezi kwa kigezo cha kukosa ajira<span class="post-views"></span>
<br />
<br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjol0OA-zBfea21OTQwvLIenWoy2Srz0CGRhz6aDIhOosK6WCc23ZWbbScY891x2jNStOV9MFZ7kcwWckDoq82L1h4SKBZK-0ckhOb06-LaMHk9p4s431I4NLOybLFVCNDb3aQKVflHpP1P/s640/DSC_2090.JPG" height="267" style="margin-left: auto; margin-right: auto;" width="400" /></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Wanawake hawapaswi kuwa wanyonge</td></tr>
</tbody></table>
<article class="post-50459 post type-post status-publish format-standard hentry category-dar page-content entry clearfix" itemscope="" itemtype="http://schema.org/Article"> WANAWAKE wametakiwa kutokuwa tegemezi kwa kigezo cha kukosa ajira,
badala yake wajiunge katika vikundi vya ujasiriamali ili kujenga
misingi bora ya familia zao.<br />
Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi,
Mratibu wa shirika lisilo la kiserikali Caritas linajihusisha na utoaji
wa miradi mbalimbali kwa kina mama, Glads Oning’o, alisema mwanamke
ni nguzo ya familia, hivyo wajishughulishe ili kuzisaidia familia zao.<br />
Alisema shirika hilo lina miradi ya kuwakopesha fedha kina mama
pamoja na mradi wa kilimo, ili waweze kujikomboa, kuondokana na hali
tegemezi.</article>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-32427861664713504482014-03-17T02:31:00.001-07:002014-03-17T02:55:40.536-07:00Huyu ndiye Mwanamakuka 2014<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjQ8CIH3SXyVDry4BXUkmT3xCeZey4LiR232y_9Zm7GaGoZhJB73kB-gXQyQh1xKVrwkkIvmi4wsqHDkHoiu9BCAg7rT4pkZ10C9Qyyh2rx6-ZqGjasjqmhsYVoXxBeDZKgZ3gunxV8OrI8/s1600/Mwanamakuka2.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjQ8CIH3SXyVDry4BXUkmT3xCeZey4LiR232y_9Zm7GaGoZhJB73kB-gXQyQh1xKVrwkkIvmi4wsqHDkHoiu9BCAg7rT4pkZ10C9Qyyh2rx6-ZqGjasjqmhsYVoXxBeDZKgZ3gunxV8OrI8/s1600/Mwanamakuka2.jpg" height="292" width="400" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Hii ilikuwa mwaka jana niliponyakua ushindi wa pili</td></tr>
</tbody></table>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhBiM0y7EYfecAWV-gVGR04M9k1hqCP7TMTcfRnObbp9HbNn_5xLTsaPKZg1QRXDB74fV5RvUhA7ZNs7HCIVYbnAoQRbHk9oKzheE02qxk7pp_L6NACQjSCCLuFyxLjGT-JexIJWQB8QUp2/s1600/Leila.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhBiM0y7EYfecAWV-gVGR04M9k1hqCP7TMTcfRnObbp9HbNn_5xLTsaPKZg1QRXDB74fV5RvUhA7ZNs7HCIVYbnAoQRbHk9oKzheE02qxk7pp_L6NACQjSCCLuFyxLjGT-JexIJWQB8QUp2/s1600/Leila.jpg" height="400" width="400" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Wakati nakabidhiwa hundi ya ushindi wangu wa mwaka jana</td></tr>
</tbody></table>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjEtQB8V5by_V4Ay0bOiu3JMapsoYMDFf9t8kcnbd8T2rHzuxxeP-TSmo9gFZ1b2WcWI9d57_DJYQwnNjEd4P_NAAceOUpeM9Xpc9z_tDbczRcQ56x8GhHxyd_GenmQuD5iw2Mp8HCY_O3G/s1600/Mwanamakuka.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjEtQB8V5by_V4Ay0bOiu3JMapsoYMDFf9t8kcnbd8T2rHzuxxeP-TSmo9gFZ1b2WcWI9d57_DJYQwnNjEd4P_NAAceOUpeM9Xpc9z_tDbczRcQ56x8GhHxyd_GenmQuD5iw2Mp8HCY_O3G/s1600/Mwanamakuka.jpg" height="288" width="400" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Nikiwa na washindi wenzangu wa mwaka jana, Theonistina Renatus na Aziza Mbogolume</td></tr>
</tbody></table>
SIKU ya Jumamosi pale Escape One, kulifanyika Family Day iliyoambatana na utoaji wa Tuzo za Mwanamakuka 2014 inayoratibiwa na Umoja wa Wanawake Marafiki (UWF) chini ya udhamini wa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB) na Airtel na wengineo.<br />
Kwa tuzo zilifana mno, lakini kubwa ni kwamba mshindi wa Tuzo ya Mwanamakuka kwa 2014 hatimaye alipatikana baada ya washiriki 10 walioshiriki na kushinda tuzo za mwaka 2012 na 2013 kushindanishwa kuandika barua kuonyesha kufanikiwa kwake na kufikia malengo baada ya ushindi waliopata miaka hiyo.<br />
Miongoni mwa washiriki nilikuwa mimi mwenyewe Leila Mwambungu, mshindi namba mbili wa mwaka jana ( 2013).<br />
Bahati nzuri, Mungu alikuwa upande wangu baada ya kuibuka kidedea dhidi ya washiriki wenzangu.<br />
Kwa hakika namshukuru Mungu kwa kuweza kunisaidia kushinda tuzo ya Mwanamakuka kwa mwaka 2014 na kama nilivyoandika katika barua yangu nitajitahidi kwa uwezo wa Allah (Subhanna Wataallah) kuwa mfano katika tuzo hizo na kuwasaidia wanawake wengine kuhamasisha kujikomboa kupitia ujasiriamali.<br />
Tuzo hii ya Mwanamakuka ilianzishwa mwaka 2012 na Tatu Mwenda ndiye aliyeibuka kidedea mwaka huo wa kwanza akifuatiwa na Mwanne Msakalile.Mwaka jana mshindi wa kwanza alikuwa Aziza Mbogolume na kufuatiwa na mimi mwenyewe na nishukuru kwamba ushindi wa mwaka jana umeniwezesha kufikia malengo niliyokusudia, japo bado naendelea kupigana.<br />
Ushindi wa mwaka huu ambao kwa hakika sikuutegemea kutokana na ushindani uliokuwapo kwa kujumuishwa washindi wote 10, watano wa mwaka 2012 na wengine wa mwaka jana.<br />
Niwashukuru waratibu wa tuzo hiyo Umoja wa Wanawake Marafiki (UWF) na wadhamini wakuu Benki ya Wanawake Tanzania (TWB).<br />
Pia shukrani zangu ziende kwa wote waliosaidia kwa namna moja wa nyingine kupata ushindi kwa miaka miwili mfululizo, hususani Mume Wangu ambaye amekuwa akinitia Moyo na kuwa bega kwa bega katika michakato hii na hata ninapovunjika moyo hunitia nguvu na kunisisitiza kuwa 'Wanawake Wanaweza na Katu Hawakati Tamaa'.<br />
Kwa washiriki wenzangu wanashukuru pia na kuwataka tuendelee kushirikiana kuonyesha mfano kwa wengine na kujaribu kuwasaidia wanawake wengine nao wafikie malengo kama tulivyowezeshwa na UWF na TWB na hasa Bi. Mariam Shamo na Margareth Chacha.Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-3466884851054219272014-03-17T02:22:00.000-07:002014-03-17T02:56:09.291-07:00Tusiruhusu ushoga nchini, hatari kwa taifa-Sheikh Muhenga <br />
<br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><img alt="http://bloggerimports.files.wordpress.com/2008/12/img_2954-raisidd.jpg?w=640" class="decoded" src="http://bloggerimports.files.wordpress.com/2008/12/img_2954-raisidd.jpg?w=640" height="266" style="margin-left: auto; margin-right: auto;" width="400" /></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Sheikh Mohammed Muhenga</td></tr>
</tbody></table>
<div class="single_no_line">
<div class="box_wrapper1">
<div class="box_stack_right" id="box1113">
</div>
</div>
</div>
<div class="read_image_box">
<div class="picha show" id="0">
<div class="pic">
</div>
<div class="cap">
SERIKALI imeombwa kufuata nyayo za serikali ya Uganda chini ya Rais Yoweri Museveni kwa kuktaa kuruhusu ushoga.</div>
</div>
</div>
Serikali imeombwa kufuata nyayo za serikali ya
Uganda chini ya Rais Yoweri Museveni kwa kukataa kuruhusu ushoga licha ya
kuziudhi nchi za magharibi zinazokingia kifua vitendo hivyo.<br />
Ombi hilo limetolewa na Imamu wa Msikiti wa Mwembechai, Sheikh Mohammed
Muhenga, alipokuwa akiwahutubia waumini kabla ya swala ya Ijumaa
iliyoswaliwa msikiti hapo, jijini Dar es Salaam.<br />
Imamu Muhenga alisema kitendo cha Watanzania kunyamazia na kukumbatia
matendo maovu yanayomchukiza Mungu vinaweza kuzua balaa kwa taifa.<br />
"Tushirikiane kukemea maovu, tusinyamazie matendo yanayomchukiza Mungu
kwani hakuna anayeweza kuhimili ghadhabu za Mungu akiamua
kutuadhibu,"alisema .<br />
Sheikh huyo alisema vitendo vya ulevi, biashara ya watu kujiuza,
ujambazi na matendo mengine kwa kisingizio cha kukabiliana na hali ngumu
ya maisha vinapaswa kuepukwa kwa nguvu zote.<br />
"Huku ni sawa na kumbeep Mungu, je akiamua kutupigia tupo tayari
kuhimili ghadhabu yake, tukemee maovu na kukemea kwani Mtume Muhammad
(Sallallah Aley Wasalam) anasema miongoni mwa dalili 10 za kiama ni umma
wake kugeuza pombe kuwa chai, watu kurejea enzi za Kaum Lut," alisema.<br />
Sheikh alisema matendo vya ushoga na maovu mengine ni kuvuka mipaka kwa
wanadamu ya uumbaji na humchukiza Mungu, hivyo ni wajibu wa kila mtu
kukemea na kuyakataa matendo hayo.<br />
Hivi karibuni Uganda ilipitisha sheria kali dhidi ya vitendo vya ushoga
na kukera nchi ya Marekani na washirika kwake ambao wameruhusu vitendo
hivyo katika nchi zao licha ya kwenda kinyume na mafundisho ya kidini.<br />
Katika vitabu vya kuanzia Qur'an mpaka Biblia inasimulia kisa cha watu wa Nabii Lutu walivyotakabari na kuwaendea wanaume wenzao wakiwaacha wanawake na Mungu akawaadhibu adhabu inayoelezwa haijawahi kupewa wanadamu kama hiyo.Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-57323792876979540442014-02-22T21:08:00.001-08:002014-02-22T21:08:15.494-08:00HII NDIYO TOP 10 YA WALIONG'ARA KIDATO CHA NNE
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><img alt="http://1.bp.blogspot.com/-SUcYdsp6pq0/UU7zJboieNI/AAAAAAAAdo4/5fAU57VdG3M/s1600/NECTA.jpg" class="decoded" src="http://1.bp.blogspot.com/-SUcYdsp6pq0/UU7zJboieNI/AAAAAAAAdo4/5fAU57VdG3M/s1600/NECTA.jpg" style="margin-left: auto; margin-right: auto;" /></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"></td></tr>
</tbody></table>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: medium;"><b><span>WASICHANA </span></b></span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: medium;"><span>Wasichana waliofanya vizur kwenye
mtihani huo wameongozwa na Robina Nicholaus (Marian Girls), Magrath
Kakoko (St Francis), Joyceline Leonard Marealle (Canossa), Safarina W
Mariki, Abby T Sembuche na Janeth Urassa (Marian Girls).</span></span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: medium;"><span></span>
<span>Wengine ni Angle Ngulumbi (St Francis),
Getrude James Mande wa Precious Blood (Arusha), Violet Mwasenga wa St
Francis na Catherine Swai kutoka Marian Girls.</span></span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: medium;"><span><br /></span><b>WAVULANA<span></span><br />
</b><span>Wavulana waliofanya Vizuri ni Sunday
Mrutu wa Anne Marie, Nelson Rugola Anthony na Emanuel Mihuba Gregory
wote kutoka Kaizirege, Razack Hassan wa St Matthew’s (Pwani) na Hamis
Msangi kutoka Eangles (Pwani).</span></span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: medium;"><span>Wengine ni Joshua Zumba wa Uwata
(Mbeya), Brian Laurent na Mohamed Ally wa Marian Boys (Pwani), Shahzill
Msuya wa St Amedeus (Kilimanjaro) na Shabani Hamisi Maatu wa Mivumon
Islamic Seminary (Dar es Salaam).</span></span></span>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-7960010901539335182014-02-22T21:06:00.001-08:002014-02-23T10:05:48.036-08:00UWF yahamasisha wanawake kushiriki Siku ya Wanawake Duniani, Family Day<div class="post-header">
</div>
<div class="post-body entry-content" id="post-body-2064088400173979375" itemprop="description articleBody">
<div class="post-body entry-content" style="color: #333333; font-family: Arial, serif; font-size: 14px; line-height: 1.6em; margin-bottom: 0.75em; margin-left: 0px; margin-right: 0px; margin-top: 0px;">
<div style="-webkit-text-stroke-width: 0px; font-variant: normal; font-weight: normal; letter-spacing: normal; line-height: normal; text-align: center; text-indent: 0px; text-transform: none; white-space: normal; word-spacing: 0px;">
<div class="separator" style="clear: both; margin-bottom: 0px; margin-left: 0px; margin-right: 0px; margin-top: 0px; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgpJ55mdTsVIYyPnRQkRngoZB-v6M6roj50Pw9xC2xJEt_zPaK51DcO7isMfSm3Sa2SVxJb44ulhIiDbGgYwFLQjfJNnaPK7rq2n7lHuEe888mRjLQEr-js8IXjpzxaoPeDNLVdSNePJswi/s1600/3.jpg" style="color: black; margin-left: 1em; margin-right: 1em; text-decoration: none;"><span style="color: #3d85c6; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;"><b><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgpJ55mdTsVIYyPnRQkRngoZB-v6M6roj50Pw9xC2xJEt_zPaK51DcO7isMfSm3Sa2SVxJb44ulhIiDbGgYwFLQjfJNnaPK7rq2n7lHuEe888mRjLQEr-js8IXjpzxaoPeDNLVdSNePJswi/s1600/3.jpg" height="262" style="border-color: rgb(238, 238, 238); border-style: solid; border-width: 4px;" width="400" /></b></span></a></div>
<span style="color: purple;"><span style="background-color: white;"><span style="font-size: x-small;">
</span></span></span>
<br />
<div style="margin: 0px;">
<span style="color: purple;"><span style="background-color: white;"><span style="font-size: x-small;"> <b><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;">MENEJA wa Tuzo ya Mwanamakuka ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa </span></b><b><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;">Wanawake Marafiki (UWF) Mariam Shamo </span></b><b><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;">akifafanua jambo mbele ya washindi wa tuzo hiyo wa mwaka juzi na jana pamoja na wanahabari kuhusiana na hafla
yao wanayoitarajia kuifanya siku ya Familia 'Family Day' Machi 15
mwaka huu,ambayo imepangwa kufanyika ndani ya kiota kipya cha maraha na
burudani Escape One Mikocheni jijini Dar, pembeni yake ni Mdau mkubwa wa
tuzo hizo na Mkurugenzi wa Benki ya Wanawake
Tanzania Margareth Chacha.</span></b></span></span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; margin-bottom: 0px; margin-left: 0px; margin-right: 0px; margin-top: 0px;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiTpyuVe2PdBIs9BCWtU-BT6IB3RsnPNGyrfQPAPh1oDCF2kqAMkO5hBiNyDaX78I-f_jpOYJwOU9McdUb37E6-ZXEptrWAjJMRSYhKch_j-BEo8_vYdf6sKe7MFQjjBF3jalsoc31i6xvd/s1600/unnamed+%2820%29.jpg" style="color: black; margin-left: 1em; margin-right: 1em; text-decoration: none;"><b><span style="color: #3d85c6; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiTpyuVe2PdBIs9BCWtU-BT6IB3RsnPNGyrfQPAPh1oDCF2kqAMkO5hBiNyDaX78I-f_jpOYJwOU9McdUb37E6-ZXEptrWAjJMRSYhKch_j-BEo8_vYdf6sKe7MFQjjBF3jalsoc31i6xvd/s1600/unnamed+%2820%29.jpg" height="300" style="border-color: rgb(238, 238, 238); border-style: solid; border-width: 4px;" width="400" /></span></b></a></div>
<span style="color: purple;">
</span>
<br />
<div>
<span style="color: purple;"><b><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;">Mjumbe
wa Mradi wa Mwanamakuka (Mwanamakuka Awards) na Mkurugenzi Mtendaji wa
Benki ya Wanawake Tanzania,Bi. Margareth Chacha akisisitiza jambo mbele
ya washindi wa Mwanamakuka mwaka 2012 na 2013 alipokuwa akiongelea siku
ya Familia Duniani tarehe 15 mwezi ujao mbele ya waandishi wa habari
jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Meneja wa Mradi wa
Mwanamakuka ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kituo cha Wanawake Marafiki
(Unit of Women Friends),Bi Maryam Shamo.</span></b></span><br />
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj0e5w-BQSMN4thIOi2ZuKUXvOfvqC-cTK4_pkfdNKUbO6h28IP4AhqZgfeZAAzBBpBNKZCHU33yynvOcOWsK-TwPujPw3IH2R1ZgzzFbLt9Bvq79_k6efF_GMGFzTppc5929s5Q72R9Ik4/s1600/2.jpg" style="color: black; margin-left: 1em; margin-right: 1em; text-decoration: none;"><span style="color: #3d85c6; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;"><b><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj0e5w-BQSMN4thIOi2ZuKUXvOfvqC-cTK4_pkfdNKUbO6h28IP4AhqZgfeZAAzBBpBNKZCHU33yynvOcOWsK-TwPujPw3IH2R1ZgzzFbLt9Bvq79_k6efF_GMGFzTppc5929s5Q72R9Ik4/s1600/2.jpg" height="218" style="border-color: rgb(238, 238, 238); border-style: solid; border-width: 4px;" width="400" /></b></span></a><span style="color: purple;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><b>WASHINDI
wa Tuzo ya Mwanamakuka mwaka 2012 na 2013 wakiwa pamoja wakati
walipokutana na waratibu wa shindano hilo kwa ajili ya kujipanga na Siku
ya Wanawake Duniani inayotarajiwa kufanyika
mnamo Machi 8 na kufuatiwa na Family Day Machi 15 mwaka huu.</b></span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="color: black; font-size: medium;">WANAWAKE
nchini wamehamasishwa kushiriki Siku ya Wanawake Duniani itakayofanyika
Machi 8, na kufuatiwa na Family Day Machi 15, mwaka huu jijini Dar es Salaam na kujadili masuala mbalimbali
ya kumwezesha mwanamke.</span></span></div>
</div>
</div>
</div>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: medium;">
Mjumbe wa mradi wa Mwanamakuka (Mwanamakuka Award) na Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki ya Wanawake Tanzania, Margareth Chacha, aliwaambia
waandishi wa habari mwishoni mwa wiki kuwa siku hiyo ni ya muhimu kwa
wanawake kwa vile itawaleta pamoja na kujadili masuala mbalimbali.</span><span style="font-size: medium;">
<br />
“Tutakutana Siku ya Wanawake Duniani na kujadili namna bora zaidi ya kumuwezesha mwanamke kujiinua kiuchumi,” alisema.
<br />
Alisema benki yake inafadhili washindi wanawake wajasiriamali kupitia
mradi huo na inafanya hivyo kwa ajili ya kumwinua mwanawake kupitia
benki yao ya wanawake.
<br />
Alisema benki hiyo inataka kuona wanawake wengi wanaingia katika
shughuli za kijasiriamali na pia imejipanga kutumia matawi yake nchini
kupanua wigo wa zawadi ya Mwanamakuka.
<br />
Alisema mpaka sasa ni asilimia mbili tu ya wanawake wanaotumia huduma za
kibenki kati ya asilimia nane ya Watanzania wote wanaotumia huduma
hizo, na sasa wakati umefika kuongeza idadi ya wanawake.
<br />
“Hali hiyo ni ya kihistoria lakini kwa sasa wanawake tunashukuru hali
imebadilika tunaweza kufanyakazi mbalimbali zikiwamo za
biashara,”aliongeza.
<br />
Alisisitiza umuhimu wa wanawake kujiunga katika vikundi kwa ajili ya
kupata mikopo kutoka katika benki yao kufanyia shughuli zao za
kijasiriamali.
<br />
Naye Meneja wa mradi wa Mwanamakuka ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kituo
cha Wanawake Marafiki (UWF), Maryam Shamo, alisema Siku ya Wanawake
Duniani kutakuwa na maonyesho ya kazi za kijasiriamali za wanawake na
michezo mbalimbali.
<br />
“Siku hiyo washindi wa mwaka huu watapatiwa zawadi zao, na pia mshindi
wa jumla wa mwaka 2012 na 2013 atapatiwa zawadi kati ya washindi kumi
waliokwisha pata zawadi,'' alisema.
<br />
Alifafanua kuwa katika kusherehekea ya siku hiyo, watu wengi wamealikwa wakiwamo akinamama wajasiriamali na wanasiasa wanawake.
<br />
Kwa upande wake, mjasiriamali mkazi wa Dar es Salaam na mshindi wa nyuma
wa mradi huo, Tatu Ngao, alisema alishinda Shilingi milioni sita
ambazo zimemwezesha kufanya biashara yake kwa ufanisi.
<br />
“Nilishinda kupitia biashara yangu ya kutengeneza keki...nimepanuka kwa kiwango cha kuridhisha hadi sasa,” alisema.
<br />
Zawadi ya Mwanamakuka ni mradi uliobuniwa na Kituo cha Wanawake Marafiki
kwa ajili ya kuwawezesha wajasiriamali wanawake kwa ufadhili wa Benki
ya Wanawake Tanzania na wadau wengine.</span></span><br />
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: medium;">
</span></span>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-76161399479538284972014-02-22T21:03:00.002-08:002014-02-23T10:06:27.826-08:00Hata ndiyo matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2013<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<b><span style="font-size: x-small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjwKjYR4_dJfYVUNWGSC6dDmTHF7yS-4F-VbN0sjo2mubSJPUBD7hhNRfAXQ7W5sOj-W6c2HOMBCU8uO3XD30VZZLsb4dbdzG_ltOZ4pJoW1DlLF2Tm_hQfDXMXJ5ksWh67dBULbXHjpOzj/s1600/1.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjwKjYR4_dJfYVUNWGSC6dDmTHF7yS-4F-VbN0sjo2mubSJPUBD7hhNRfAXQ7W5sOj-W6c2HOMBCU8uO3XD30VZZLsb4dbdzG_ltOZ4pJoW1DlLF2Tm_hQfDXMXJ5ksWh67dBULbXHjpOzj/s1600/1.jpg" height="265" width="400" /></a></span></span></b><span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><span style="line-height: 115%;"> </span></span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><span style="line-height: 115%;">Kaimu Katibu Mkuu wa
baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dk. Charles Msonde akisoma matokeo ya
mitihani ya kidato cha nne mwaka 2013 Dar es Salaam jana. </span></span></span></div>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;">
</span></span>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br /></span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;">Idadi ya ufaulu mtihani kidato cha nne mwaka jana
imeongezeka kutoka 185,940 hadi kufikia 235, 225, ikilinganishwa na
mwaka 2012.</span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
Vile vile watahiniwa 151,187 kati ya 404,083 waliofanya mtihani wa kidato cha nne mwaka jana wamepata ‘divisheni’ ziro.</span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
Hata hivyo, idadi ya waliopata daraja sifuri imepungua ikilinganishwa
na mwaka 2012 ambapo wanafunzi 240,903 kati ya 397,132 waliambulia
daraja hilo na kusababisha hamaki iliyoshinikiza viongozi wa sekta ya
elimu kuwajibishwa.</span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
Matokeo hayo yalitangazwa jana jijini Dar- es- Salaam na Kaimu Katibu
Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani (Necta), Dk. Charles Msonde,
aliyeongeza kuwa idadi ya ufaulu kwa mwaka jana ilipanda ikilinganishwa
na mwaka 2012.</span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
Ongezeko hilo la watahiniwa 49,285 waliofaulu zaidi mwaka huo, limefanya
kiwango cha ufaulu kupanda kwa asilimia 58.25 ikilinganishwa na hali
ilivyokuwa mwaka 2012. </span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
“Jumla ya watahiniwa 404,083 sawa na asilimia 94. 48 waliofanya mtihani
huo, wanafunzi 151,187 ambao ni asilimia 42.91 walishindwa mtihani.”
Alisema Dk. Msonde na kuongeza kuwa wasichana waliofaulu ni 106,792 sawa
na asilimia 56.73, wavulana ni 128,435 sawa na asilimia 59.58.</span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
Watahiniwa waliofaulu moja kwa moja kutoka shuleni ni 201,152 sawa na
asilimia 57.09, wasichana wakiwa 90,064 sawa na asilimia 55.49 na
wavulana ni 111,088 sawa na asilimia 58.45.</span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
Alisema idadi ya wanafunzi wa kujitegemea ilikuwa 34,075 sawa na
asilimia 66.23 ikilinganishwa na ya mwaka 2012 ambao idadi yao ilikuwa
2,619.</span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
Watahiniwa wa mtihani wa Maarifa(QT), waliofaulu ni 6,529 sawa na asilimia ikilinganisha na watahiniwa 5,984 wa mwaka 2012.</span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
Akitangaza matokeo hayo mbele ya wanahabari alisema watahiniwa
walioandikishwa kufanya mtihani huo mwaka jana walikuwa 427,679, kati
yao wasichana ni 199,123 sawa na asilimia 46.56.</span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
Wavulana walikuwa ni 228,556 sawa na asilimia 53.44, huku watahiniwa wa
shule wakiwa 367,163 na watahiniwa wa kujitegemea wakiwa 60,516.</span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
Alisema kati ya watahiniwa 427,679 waliosajiliwa kufanya mtihani huo,
404,083 sawa na asilimia 94.48 walifanya mtihani huo na watahiniwa
23,596 sawa na asilimia 5.52 hawakufanya mtihani huo.</span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
Kwa watahiniwa wa shule 367,163 waliosajiliwa , 352,614 sawa na asilimia
96.04 walifanya mtihani, wasichana wakiwa 162,412 sawa na asilimia
96.07 na wavulana ni 190,202 sawa na asilimia 96.0. </span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
Pia alisema watahiniwa 14,549 sawa na asilimia 3.96 hawakufanya mtihani.</span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
Aidha aliongeza kuwa kwa upande wa watahiniwa wa kujitegemea 60,516
waliosajiliwa kufanya mtihani huo, 51,469 sawa na asilimia 85.05
walifanya mtihani huo, na watahiniwa 9,047 sawa na asilimia 14.95
hawakufanya mtihani.</span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
Alisema kwa watahiniwa 18,217 wa mtihani wa maarifa (QT),
waliosajiliwa, 15,061 sawa na asilimia 82.68 walifanya mtihani huo na
3,156 sawa na asilimia 17.32 hawakufanya mtihani.</span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
Kwa upande wa ubora wa ufaulu kwa kuangalia madaraja , alisema kwa
watahiniwa wa shule unaonyesha kuwa jumla ya watahiniwa 74,324 sawa na
asilimia 21.09 wamefaulu katika daraja la I hadi la III wakiwamo
wasichana 27,223 sawa na asilimia 16.77 na wavulana 47.101 sawa na
asilimia 24.</span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
Dk. Msonde alisema takwimu za matokeo zinaonyesha kuwa ufaulu katika
masomo yote umepanda kwa asilimia kati ya 0.61 na 16.72 ikilinganishwa
na mwaka 2012.</span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
Alisema watahiniwa wamefaulu zaidi masomo ya Kiswahili kwa asilimia
67.77 na somo ambalo wamefaulu kwa kiwango cha chini ni Hesabu kwa
asilimia 17.78.</span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
Kwa mujibu wa Necta wanafunzi waliong’ara ni Robina Nicholaus, Sarafina
Mariki, Abby Sembuche na Janeth Urassa wa Sekondari ya Wasichana ya
Marian.</span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
Wengine ni Magreth Kakoko na Angel Ngulumbi wa St. Francis, Joyceline
Marealle wa Sekondari ya Canossa, Sunday Mrutu wa Sekondari ya Anne
Marie, Nelson Rugola na Emmanuel Mihuba Sekondari ya Kaizirege .</span></span>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br />
Kadhalika, shule zilizofanya vizuri zaidi na kuingia katika kumi bora
katika kundi la shule zenye watahiniwa 40 ni shule ya wasichana ya St.
Francis, Shule ya wavulana na Marian, shule ya wasichana ya Feza, shule
ya Precious Blood, Canossa, Shule ya wasichana ya Marian, shule ya
wasichana ya Anwarite, Abbey, Rosminini na Shule ya Seminari ya Don
Bosco.</span></span></div>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;">
</span></span>
<br />
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;">KUANGALIA
MATOKEO YA MITIHANI</span></span></div>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;">
</span></span><br />
<span style="color: orange;"><span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br /></span></span></span>
<br />
<span style="color: orange;"><span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;">Matokeo ya
Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) uliofanyika Novemba 2013 unaweza kuyaona kwa kubofya hapa <a href="http://41.188.155.122/CSEE2013/olevel.htm">MATOKEO</a></span></span></span>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-26887333575540070712013-11-03T04:24:00.002-08:002013-11-03T04:25:16.722-08:00Wanafunzi zaidiya 100 wafungiwa chumba kimoja kwa saa tano<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><img height="300" id="il_fi" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEismDNq9FV9MonG4YXF9q18NKuXnKe1vWUVPxVcqyT2q3eZv7Uf3joJCsehbvEkr4D2tmd3DNUI26zAVbab6RhhFldrLzP4eIa2VDGq83m6SzdcKCNfWUIZhNtT1jzU9Ohaqkms7sTjjyA/s400/WANAFUNZI+WA+MADARASA+MAWILI+SHULE+YA+MSINGI+KIDUGALO+%28DARASA+LA+TANO+NA+LA+SITA+WAKIWA+KATIKA+CHUMBA+KIMOJA+CHA+DARASA%29+KILOMETA+NNE+TOKA+OFISI+ZA+WILAYA+ZILIPO.JPG" style="margin-left: auto; margin-right: auto; padding-bottom: 8px; padding-right: 8px; padding-top: 8px;" width="400" /></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Picha haihusiani na habari hii</td></tr>
</tbody></table>
<span style="font-size: large;">WANAFUNZI
zaidi ya 100 wa Shule ya Msingi ya kutwa ya St. John Bosco, Kibaha mkoa
wa Pwani, wanadaiwa kufungiwa kwenye chumba kimoja cha shule hiyo kwa
muda wa saa tano kama adhabu ya kutolipa ada.</span><br />
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Tukio hilo limetokea juzi ambapo wanafunzi
hao wanadai kufungiwa katika chumba hicho na Mwalimu Mkuu wa Shule
hiyo, kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 7:00 mchana.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Wanafunzi hao wanadaiwa ada kati ya Sh.
50,000 hadi Sh. 400,000. Ada ya mwaka katika shule hiyo kwa mwanafunzi
mmoja ni Sh. 1,300,000.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Wazazi wa wanafunzi hao wakizungumza na
NIPASHE jana mjini Kibaha, walisema walipewa taarifa na watoto wao
kwamba walifungiwa ndani ya chumba kwa sababu hawajalipa ada ya shule,
jambo ambalo limewasikitisha sana na kinyume na haki za binadamu.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">“Ukatili waliofanyiwa watoto wetu katika
shule hii haujatufurahisha kabisa, kwani shule hii ni ya kidini sasa
inakuaje Mwalimu Mkuu anakosa roho ya subira,” walisema wazazi hao ambao
walikuwa wamejikusanya kutafakari kwa kina jambo hilo.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Walisema baada ya kupata taarifa kwa barua
kutoka kwa uongozi wa shule kwamba wanatakiwa kuwalipia ada watoto wao,
waliomba wawasilishe ada hiyo wiki ijayo lakini wameshangazwa na
kitendo cha uongozi cha kukosa subira na kuamua kuwafanyia kitendo cha
ukatili watoto wao.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">“Ada yenyewe tunayodaiwa tulipe imetokana
na ongezeko la ada kutoka Sh. 850,000 tuliyokuwa tukilipa awali na
kufikia Sh. 1,300,000 kwa mwaka ambayo imepandishwa ghafla, kwanza
watoto wenyewe wanapewa chai ya rangi na mikate tu saa 4:00 asubuhi,”
walisema wazazi hao waliokuwa na jazba.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo, Sista Fabiola
alipoulizwa kuhusu madai hayo alisema si ya kweli kwa sababu shule haina
chumba cha kuweza kuwafungia wanafunzi hao kama inavyodaiwa na wazazi.</span></div>
<div style="margin-bottom: 0in;">
<span style="font-size: large;">Alisema wapo watoto ambao wanadaiwa ada
toka Januari hawajalipa na wazazi wao wamekuwa wakipewa barua mara kwa
mara kila shule inapofungwa na kufunguliwa, lakini baadhi yao wamekuwa
wakorofi.</span></div>
<div class="box_wrapper1">
<div class="box_no_border" id="box1117">
<div class="publication_name">
<br />
<span style="font-size: large;">CHANZO:
NIPASHE JUMAPILI
</span></div>
</div>
</div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-5076641183984523172013-11-03T04:19:00.001-08:002013-11-03T04:19:20.085-08:00Dk Slaa aponda mfumo mpya wa ufaulu<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><img height="400" id="il_fi" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2011/03/dk-slaa-kampeni.jpg" style="margin-left: auto; margin-right: auto; padding-bottom: 8px; padding-right: 8px; padding-top: 8px;" width="400" /></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Dk Slaa</td></tr>
</tbody></table>
<span style="font-size: large;">SIKU tatu baada ya serikali kutangaza mfumo mpya wa madaraja ya ufaulu, licha ya kupingwa na wengi, kitendo hicho pia kimemhuzunisha Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa.<br /><br />Akizungumza na gazeti hili jana, Dk. Slaa alisema: “Kwa kubadili mfumo wa maksi serikali sasa bila huruma imeamua kwa makusudi kabisa kuua ubora wa elimu nchini, ni kweli kwa kupanua wigo wa kufaulu serikali haitalaumiwa kwa akili ya kawaida, itaonekana wamefaulu wote, lakini elimu haitawasaidia watoto wenyewe, haitawasaidia wazazi wenyewe, na haitasaidia taifa letu. Tutapataje madaktari bora, tutapataje wanasayansi, walimu au wahandisi bora? Mabadiliko yanahitajika kusaidia taifa hili lisizikwe na watu wasio na huruma.”<br /><br />Kwa upande wake, Dk. George Kahangwa, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akizungumza kupitia kipindi cha ‘Tuongee’ kinachorushwa na Star TV, alisema hatua ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Profesa Sifuni Mchome, kutangaza mageuzi hayo ni kuonesha ni jinsi gani serikali imeshindwa kutatua mzizi wa tatizo la elimu nchini na baadala yake inatapatapa kwa kuja na sera iliyoiacha kuitumia toka mwaka 1995 iliyotumia alama hiyo ya 50 kwa 50 kwa Tanzania Bara na 40 kwa 60, kwa Visiwani Zanzibar ambapo safari hii imeamua kuitumia tena na kuiweka wazi.<br /><br />Dk. Kahangwa alisema serikali licha ya kutoa tamko la kubadilisha daraja jipya huku ikikiri kuwa ilikuwa ikitoa alama za kuanzia 75 hadi 100 ndio ufaulu wa alama ‘A’ na daraja la kwanza, pasipo kuiweka wazi kwa muda mrefu, sasa wameamua kuiweka wazi, huku ni kuwaada Watanzania kwa kutumia sera ambayo hazitekelezeki.<br /><br />“Hili ni janga la elimu, huko nyuma waliondoa ‘sifuri’ kwenye ufaulu na kuweka ‘feli’, leo hii wanakuja tena na kuongezea daraja la tano na kuita ‘ufaulu hafifu au ufaulu usioridhisha’, huku ni kucheza na masuala ya msingi katika taifa. Kuja mbele za umma na kutangaza tena juu ya sera hiyo waliyoiacha kwa muda pasipokuitumia ni jinsi gani sera hiyo haitekelezeki tena,” alisema Dk. Kahangwa.<br /><br />Dk. Kahangwa amewaomba Watanzania na wadau wa habari nchini kujitokeza kuwahoji wadau wa elimu kama walishirikishwa kwenye kupitishwa kwa mabadiliko hayo.<br /><br />Dk. Kahangwa alisema hivi karibuni kuna shirika lilifanya utafiti wa shule za sekondari 100 ambapo shule nne tu ndizo zinahesabika kama shule bora huku 96 zikihesabika kama makambi ya shule.<br /><br />Hata hivyo, Mhariri Mtendaji wa gazeti la Tanzania Daima, Ansbert Ngurumo, aliyekuwapo kwenye mahojiano hayo alifananisha kitendo cha serikali kupanga madaraja hayo kuwa ni sawa na kupanua magoli ya uwanja ili kila mchezaji afunge, huku akiitaka serikali iwaombe radhi wananchi kwa kuwa ilianza kutumia mfumo huo bila kuwaarifu.<br /><br />Naye Mratibu wa Chama cha Waandishi wa Habari mkoani Mwanza, Edwin Soko, alisema mabadiliko haya yaliyolenga kuongeza idadi ya wahitimu bila kuangalia uzoefu, yamesababisha taifa kukosa falsafa na Dira ya Taifa.</span>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-21047351746682322492013-11-03T04:16:00.001-08:002013-11-03T04:16:28.313-08:00Harambee ya Chuo cha Mwika yakwama, kisa...!<span style="font-size: large;">CHUO cha Uhifadhi na Usaimamizi wa Wanyamapori, Mweka cha mkoani Kilimanjaro kimesherehekea miaka 50 tangu kuanzishwa kwake kwa kukwama kuendesha harambee kama ilivyopangwa.<br /><br />Harambee hiyo ilikuwa ifanyike chuoni hapo juzi baada ya kumalizika kwa mkutano wa wataalamu wa usimamizi na uhifadhi wa wanyamapori kutoka nchi za Scandinavia, Bara la Ulaya, Amerika na Afrika, ilikuwa na lengo la kuchangisha kiasi cha dola milioni 3.6 za Marekani kwa ajili ya upanuzi wa chuo hicho.<br /><br />Kwa mujibu wa ratiba ya shughuli hiyo ya harambee, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alitarajiwa kuwa mgeni rasmi huku uongozi wa chuo hicho ukiwaalika wageni wengine mashuhuri akiwemo waziri mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa na Mwenyekiti wa kampuni za IPP, Reginald Mengi.<br /><br />Katika hali isiyo ya kawaida hadi muda wa kuanza kwa shughuli hiyo saa saba mchana hakukuwa na mgeni hata mmoja kati ya walioalikwa aliyewasili chuoni hapo na badala yake walionekana walimu na wanachuo tu.<br /><br />Wakati hali ikiwa hivyo, katika uwanja wa michezo wa chuo hicho ambako kulipambwa kwa ajili ya tukio hilo licha ya kutokuwepo kwa wageni waalikwa Tanzania Daima Jumapili lilishuhudia viti vikiwa wazi licha ya uwepo wa vifaa vya muziki vilivyokuwa vikipiga muziki na matangazo yakiita watu uwanjani hapo.<br /><br />Hata hivyo ilipotimu saa 8 mchana aliwasili Mbunge wa Kahama, James Lembeli na Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe aliyedaiwa kumwakilisha Pinda.<br /><br />Baada ya kuwasili Maghembe alipokewa na wafanyakazi wa chuo hicho akiwamo Kaimu Mkuu wa Chuo, Dk. Freddy Manonge, aliyeambatana naye hadi ofisi kuu ya chuo kwa ajili ya kupatiwa maelezo mafupi.<br /><br />Mazungumzo kati ya Waziri Maghembe na uongozi wa chuo yalichukua muda mrefu, hali iliyolazimu gazeti hili kutaka kujua nini kinaendelea na baada ya kufika katika ofisi hiyo mmoja wa wafanyakazi wa chuo hicho alijibu kwa kifupi: ‘Kuna kikao tutawaita’.<br /><br />Baada ya kusubiri hadi saa 11 jioni, Lembeli ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge inayoshughulikia Maliasili na Utalii alitoka ndani ya ofisi hiyo kisha akatoka makamu mkuu wa chuo akiambatana na Ofisa Uhusiano wa chuo hicho, Richard Kisasembe.<br /><br />Mkuu wa chuo hicho baada ya kufanya mawasiliano na mshereheshaji wa shughuli aliyefahamika kwa jina moja la Peter baadaye alitoa tangazo la mabadiliko akisema kutokana na watu wengi waliokuwa wamealikwa kupata dharura hivyo shughuli ya harambee imehairishwa.<br /><br />“Baada ya watu wengi kupata dharura wale ambao tumekuja leo kwa ajili ya kuchangia basi tunaomba waende ofisini ili kwenda kutoa ahadi zenu pale na kesho (jana) tutatangaza kiasi kilichopatika kwa hiyo suala la harambee tutalikamilisha kesho,” alisema mshereheshaji Peter.<br /><br />Akizungumzia hali hiyo, Profesa Maghembe alisema alimwakilisha Waziri Mkuu Pinda ambaye ametingwa na shughuli za Bunge.<br /><br />Kuhusu ujangili, Profesa Maghembe alisema lipo tatizo katika nchi za Afrika, wapo watu wenye uchu wa kujipatia mali kwa haraka, ambao wanataka kumaliza rasilimali za wanyamapori waliotunzwa kwa ghamara na muda mrefu.<br /></span>TANZANIA DAIMAAnonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-12420276104069718512013-11-03T04:11:00.004-08:002013-11-03T04:11:33.448-08:00Wanawake wajasiriamali waasa juu ya bidhaa zao<h2 class="date-header">
<span></span></h2>
<div class="date-posts">
<div class="post-outer">
<div class="post hentry">
<a href="http://www.blogger.com/null" name="7797943580596467109"></a>
<h3 class="post-title entry-title">
<span style="font-size: large;"><span style="font-weight: normal;"></span></span></h3>
<span style="font-size: large;">
</span><div class="post-header">
</div>
<span style="font-size: large;">
</span><div class="post-body entry-content" id="post-body-7797943580596467109">
<h3 class="post-title entry-title">
<span style="font-size: large;"><span><span style="font-weight: normal;"><a href="http://michuzijr.blogspot.com/2013/11/wanawake-wajasiriamali-waaswa.html">
</a></span></span></span>
</h3>
<span style="font-size: large;"><span>
</span><span>
</span></span>
<span style="font-size: large;"><span>
<span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/11/DSC_0394.jpg"><img alt="DSC_0394" class="aligncenter size-full wp-image-87728" height="427" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/11/DSC_0394.jpg" width="640" /></a>
</span><br />
</span></span><div style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;">Mama Tunu Pinda akikaribishwa kufunga maonyesho ya wiki ya Wakinamama Wajasiriamali na Mratibu wa Kitaifa wa Programu ya kuendeleza wajasirimali wanawake Tanzania kutoka ILO, Noreen Toroka. kushoto kwa Mama Pinda ni Mwenyekiti wa MOWE, Bi Elihaika Mrema na </span></span></span></div>
<span style="font-size: large;"><span>
</span></span><div style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;"> <a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/11/DSC_0354.jpg"><img alt="DSC_0354" class="aligncenter size-full wp-image-87719" height="400" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/11/DSC_0354.jpg" width="600" /></a></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;"><span>
</span></span><div style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;">Mke
wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akifunga rasmi Maonyesho ya Wanawake
Wajasirimali (MOWE) katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam,
maonyesho hayo ya wanawake wajasiriamali yalikuwa ya wiki nzima ambapo
wakinamama wanapata nafasi ya kuonyesha na kuuza bidhaa mbalimbali
Usindikaji, Mvinyo, Batiki kwa wakazi wa jijini.</span></span></span></div>
<span style="font-size: large;"><span>
</span></span><div style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/11/DSC_0337.jpg"><img alt="DSC_0337" class="aligncenter size-full wp-image-87720" height="400" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/11/DSC_0337.jpg" width="600" /></a></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;"><span>
</span></span><div style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;">Mratibu
wa Kitaifa wa Programu ya kuendeleza Ujasiriamali kwa wanawake Tanzania
toka Shirika la Kazi Duniani (ILO) Noreen Toroka akizungumza wakati
hafla ya kufunga maonyesho hayo ambapo amesema wiki nzima ilikuwa ni
maonyesho wanawake toka sehemu mbalimbali nchini Bara na Visiwani
wamepata wasaa wakubadilishana mawazo na mbinu za Kibiashara.</span></span></span></div>
<span style="font-size: large;"><span>
</span></span><div style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/11/DSC_03242.jpg"><img alt="DSC_0324" class="aligncenter size-full wp-image-87729" height="427" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/11/DSC_03242.jpg" width="640" /></a></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;"><span>
</span></span><div style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;">Mwenyekiti
wa Kamati ya MOWE, Mama Elihaika Mrema akizungumza wakati wa kufunga
maonyesho hayo ya Wajasirimali wakinamama jijini Dar es Salaam.</span></span></span></div>
<span style="font-size: large;"><span>
</span></span><div style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/11/DSC_0287.jpg"><img alt="DSC_0287" class="aligncenter size-full wp-image-87724" height="400" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/11/DSC_0287.jpg" width="600" /></a></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;"><span>
</span></span><div style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;">Mama Tunu Pinda akitembelea baadhi ya mabanda katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar.</span></span></span></div>
<span style="font-size: large;"><span>
</span></span><div style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/11/DSC_0302.jpg"><img alt="DSC_0302" class="aligncenter size-full wp-image-87725" height="400" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/11/DSC_0302.jpg" width="600" /></a></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;"><span>
</span></span><div style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;">Mama Tunu Pinda akipata maelezo kwa mmoja wa Wajasirimali Wanawake walioshiriki maonyeshio hayo.</span></span></span></div>
</div>
</div>
</div>
</div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-27423068211349692262013-11-03T04:08:00.000-08:002013-11-03T04:08:34.288-08:00SOMA MATOKEO YA DARASA LA 7 YA MWANAO HAPA<a class="goog-inline-block share-button sb-twitter" href="http://www.blogger.com/share-post.g?blogID=228341550981281596&postID=5998882744053097069&target=twitter" target="_blank" title="Share to Twitter"><span class="share-button-link-text"></span></a><a class="goog-inline-block share-button sb-facebook" href="http://www.blogger.com/share-post.g?blogID=228341550981281596&postID=5998882744053097069&target=facebook" target="_blank" title="Share to Facebook"><span class="share-button-link-text"></span></a><br />
<div class="post-footer-line post-footer-line-2">
<span class="post-labels">
</span>
</div>
<div class="post-footer-line post-footer-line-3">
<span class="post-location">
</span>
</div>
<div class="post-outer">
<div class="post hentry" itemprop="blogPost" itemscope="itemscope" itemtype="http://schema.org/BlogPosting">
<a href="http://www.blogger.com/null" name="3918095037739158717"></a>
<h3 class="post-title entry-title" itemprop="name">
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<div class="post-body entry-content" id="post-body-3918095037739158717" itemprop="description articleBody">
<h2 class="date-header">
</h2>
<div class="date-posts">
<div class="post-outer">
<div class="post hentry" itemprop="blogPost" itemscope="itemscope" itemtype="http://schema.org/BlogPosting">
<a href="http://www.blogger.com/null" name="8334569680938775986"></a>
<h3 class="post-title entry-title" itemprop="name">
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<div class="post-body entry-content" id="post-body-8334569680938775986" itemprop="description articleBody">
<div style="text-align: center;">
<span style="color: blue;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span style="font-size: xx-small;"></span></span></span></div>
<div class="post-body entry-content" id="post-body-114269777450887323" itemprop="articleBody" style="text-align: center;">
<div>
<span style="color: blue;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span style="font-size: xx-small;"><img border="0" height="400" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiQlRmTXcxozlHQ78jerB2dN5tg145J53rxO2SfZ-ca2fm7anRhyphenhyphenPzqMbEftgFqLaFMFx1NjjuIzBBIrkwwgtuFkOM6J2Ktl_-zfSlX0c1bkt0VtCWolDpczf5ps3WIzeSS-azdyL8P8KU/s400/248297_101412839953283_5453573_n.jpg" style="border: 1px solid rgb(237, 237, 237); box-shadow: 1px 1px 5px rgba(0, 0, 0, 0.098); padding: 5px; position: relative;" width="400" /></span></span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif; font-size: medium;"><span style="background-color: white; line-height: 1.4;">Dar
es salaam, Tanzania</span></span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif; font-size: medium;"><span style="background-color: white; line-height: 1.4;">MATOKEO ya Darasa la Saba yametangazwa na mwaka huu
huku ufaulu ukiwa umeongezeka kutoka asilimia 30.72 mwaka jana mpaka asilimia 50.61
mwaka huu kutokana na wanafunzi walio fanya mtihani mwaka huu wa darasa
la saba wamefaulu zaidi ukilinganisha na wanafunzi wa mwaka jana Kaimu
mtendaji wa Baraza la Mtihani Charles Msonda amesema ufaulu katika
masomo yote umepanda kwa asilimia kati ya 6.01 na 28.06 ukilinganisha na
mwaka 2012.</span></span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif; font-size: medium;"><span style="background-color: white; line-height: 1.4;">Mwaka huu watahiniwa wamefahulu zaidi katika somo la
Kiswahili kwa asilimia 69.06 na somo walilio faulu kwa kiwango kidogo
zaidi ni somo la Hisabati wamefaulu kwa asilimia 28.62.</span></span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif; font-size: medium;"><span style="background-color: white; line-height: 1.4;"> Msonda amesema
jumla ya watahiniwa 427,606 kati ya 844,938 walio fanya mtihani huo
wamepata alama ya 100 kati ya alama ya 250 idadi hiyo ni sawa na asilimia
50.61</span></span></div>
<div class="post-body entry-content" id="post-body-1360588402492453591" itemprop="articleBody" style="position: relative; width: 640px;">
<div>
<span style="background-color: purple;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif; font-size: medium;"><span style="line-height: 18px;"><br /></span></span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; line-height: 1.4;">
<span style="background-color: purple;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif; font-size: medium;"><a href="http://www.necta.go.tz/matokeo_html_2013/psle.htm" style="text-decoration: none;">BOFYA HAPA KUONA SHULE YA MWANAO</a></span></span></div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-56196184076902146022013-11-03T04:06:00.001-08:002013-11-03T04:06:30.558-08:00Matokeo darasa la 7 yatia fora<br /><span style="font-size: large;"></span><div class="post-header">
</div>
<span style="font-size: large;">
</span><div dir="ltr" style="text-align: left;">
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><span style="font-size: large;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg8mBkrmHiJ5XDON5p-4CdDANHrsADY-yRVsHqhRvnUu4OO0f-Vs_stPYpLX7RS33eoP0OWZCp-YIsn3XA2D8mL5ecllxfbQX7BKJuXXrShR2CBQyYLbhTqd0X_d2I5ExW3_P8bYud8MuU/s1600/mtihani.jpg" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg8mBkrmHiJ5XDON5p-4CdDANHrsADY-yRVsHqhRvnUu4OO0f-Vs_stPYpLX7RS33eoP0OWZCp-YIsn3XA2D8mL5ecllxfbQX7BKJuXXrShR2CBQyYLbhTqd0X_d2I5ExW3_P8bYud8MuU/s640/mtihani.jpg" width="640" /></a></span></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: large;"><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span><span style="color: red;">Baadhi ya wanafunzi hao walipokuwa wakifanya mtihani huo hivi karibuni.</span></span></span></span></td></tr>
</tbody></table>
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span>Wakati
wanafunzi wa Kidato cha Nne wakianza mitihani yao kesho, Baraza la
Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya darasa la saba
mwaka huu.</span></span></span>
<span style="font-size: large;"><a href="http://www.blogger.com/null" name="more"></a><span><br />Matokeo hayo yanaonesha ufaulu umeongezeka kwa asilimia 19. 89, tofauti na ilivyokuwa mwaka jana.<br />Katika
matokeo hayo, wanafunzi 13 wamefutiwa matokeo, kutokana na udanganyifu
ambapo watano walikariri mtihani kwa kufanya mara tatu mwaka 2011, 2012
na mwaka huu. Wengine nane walikutwa na vikaratasi vya majibu katika
chumba cha mitihani.<br />Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, DK Charles Msonde alitangaza matokeo hayo jana.<br />Alisema
jumla ya watahiniwa 427,606, kati ya 844,938 waliofanya mtihani,
wamepata alama zaidi ya 100 katika alama 250, idadi ambayo ni sawa na
asilimia 50.61.<br />Alisema kati yao, wasichana ni 208,227 ambao ni sawa
na asilimia 46.68 na wavulana ni 219,379 sawa na asilimia 55.01 huku
miongoni mwao wamo wenye ulemavu 476, wasichana wakiwa 219 na wavulana
257.<br />“Mwaka jana asilimia ya watahiniwa waliopata alama zaidi ya 100
ilikuwa 30.72, hivyo kuna ongezeko la asilimia 19.89 huku takwimu za
masomo zikionesha ufaulu katika masomo yote, umepanda kwa asilimia 6.01
na 28.06, ikilinganishwa na mwaka jana,”alisema.<br />Alibainisha kuwa
watahiniwa wamefaulu zaidi katika somo la Kiswahili, ambapo ufaulu ni
asilimia 69.06. Somo walilofaulu kwa kiwango cha chini ni Hisabati,
lenye ufaulu wa asilimia 28.62.<br />Msonde alisema matokeo ya mwaka huu
yamewahi, kutokana na watahiniwa kufanya mitihani kwa mara ya pili kwa
kutumia Karatasi Maalum za Optical Mark Reader (OMR), ambazo
zilisahihishwa kwa kutumia mfumo wa kompyuta.<br />Alisema washiriki 301
walishiriki katika usahihishaji, ikilinganishwa na washiriki zaidi ya
4,000 waliokuwa wakishiriki kabla ya kuanza kwa mfumo huo. Kwa mwaka
huu, usahihishaji umefanywa kwa siku 16, ukilinganishwa na siku 30
zilizotumika awali.<br />Dk Msonde alisema ili kuhakiki usahihishaji kwa
kutumia mfumo wa kompyuta, sampuli ya karatasi 20,795 za majibu kutoka
shule 200 katika wilaya 48 za mikoa tisa, zilisahihishwa kwa mkono na
kufanyiwa ulinganifu na kusahihishwa kwa kompyuta.<br />Alisema
usahihishaji wa kompyuta, ulikuwa sahihi huku usahihi wa kutumia kalamu
ukiwa na makosa ya kibinadamu katika karatasi 249, sawa na asilimia 1.2.<br />DK
Msonde alisema jumla ya watahiniwa 867,983 wa shule za msingi,
walisajiliwa kufanya mtihani huo, wakiwemo wasichana 455,896 sawa na
asilimia 52.52 na wavulana 412,089 sawa na asilimia 47.48. Kati ya hao,
watahiniwa 597 walikuwa wenye uono hafifu na watahiniwa 88 walikuwa
wasioona.<br />Alisema watahiniwa 844,000, sawa na asilimia 97.34 ya
waliosajiliwa, walifanya mitihani, kati yao wasichana walikuwa 446,115
sawa na asilimia 97.85 na wavulana 398,823 sawa na asilimia 96.78 .<br />Alisema
watahiniwa 23,045 sawa na asilimia 2.66, hawakufanya mtihani, kutokana
na sababu mbalimbali, zikiwemo utoro na ugonjwa. Kati yao, 9,781 sawa na
asilimia 2.15 ni wasichana na 13,264 sawa na asilimia 3.22 ni
wavulana.<br />Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Shule na Vyuo Binafsi
Tanzania (TAMONGSCO), Mahmoud Mringo alisema shule binafsi zimeongoza
katika matokeo hayo kwa kila somo.<br />Alisema katika somo la Kiswahili,
shule binafsi wamepata asilimia 98 wakati za Serikali asilimia 68, na
kwa Kingereza shule binafsi asilimia 99 na Serikali 33.<br />Kwa somo la
Maarifa ya Jamii, shule binafsi asilimia 86 Serikali 52 , Hisabati shule
binafsi asilimia 81 na Serikali 27 na somo la Sayansi, shule binafsi
asilimia 84 na Serikali 46.</span></span></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-88804520516694169052013-11-03T04:03:00.005-08:002013-11-03T04:03:56.087-08:00Serikali yatangaza viwango vipya vya ufaulu mitihani ya taifa<div style="font-family: Georgia, Helvetica, Arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: normal; margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span>JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> </span></span></span></b><br /><b><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI</span></span></span></b></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<div style="clear: both;">
<span style="font-size: large;"><b><span><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjXcdqsl2BC_YRwTNy_pV0jPe0EjAVzrRlYyG7bUXAIF8WBTquIfaY9xsbC3_JZQUJSENMVoom5-kZ7OScdty8FHc-8pp3_lnZoUdUS4MzlB3NHOqpKICvEY0vdJA8w7X4LI6G3E48vr6Fu/s1600/200px-Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png" /></span></b></span></div>
<span style="font-size: large;"><b><span></span></b><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span>Wizara
imekusanya maoni ya Wadau wa Elimu kuhusu Upangaji wa Viwango vya Alama
(Grade Ranges) katika Mitihani ya Kuhitimu Kidato cha Nne na cha Sita
pamoja na Matumizi ya Alama za Tathmini Endelevu ya Mwanafunzi
(Continuous Assessment ama CA) kwa ajili ya kuamua kiwango cha ufaulu wa
mwanafunzi. Maoni ya wadau yamekusanywa kwa sababu kwa muda mrefu sasa
upangaji wa viwango vya alama vinavyotumika na utaratibu wake katika
mitihani ya kuhitimu Kidato cha Nne na Kidato cha Sita umekuwa haufanani
pamoja na kwamba mitihani hiyo yote ni ya elimu ya sekondari. Pia mfumo
masuala mbalimbali ya mitihani katika elimu ya sekondari umekuwa na
miundo tofauti ikiwemo ule unaotumika shuleni na ule wa Baraza la
Mitihani la Taifa. Kwa sasa kuna miundo mikuu miwili katika mfumo huo.</span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;">
<b><span> </span></b></span></div>
<span style="font-size: large;">
<b style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></b></span><div class="MsoNormal" style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; margin: 0in 0.3pt 6pt 0in; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span>Muundo
wa Kwanza ni upangaji wa viwango katika ngazi ya Shule ambapo Alama
Mgando (Fixed Grade Ranges) zifuatazo hutumika kupanga madaraja: A = 81 –
100; B = 61 – 80; C = 41 – 60; D = 21 – 40 na F = 0 – 20. Muundo huu
umetumika kwa muda mrefu na umezoeleka kwa walimu na wanafunzi wa elimu
ya sekondari kwa ujumla.</span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div class="MsoNormal" style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; margin: 0in 0.3pt 6pt 0in; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span>Muundo
wa Pili ni wa viwango vinavyotumiwa na Baraza la Mitihani la Taifa
ambapo ambapo kabla ya mwaka 2012 muundo wa viwango nyumbufu (<i>flexible grade ranges</i>)
ulitumika. Katika muundo huu uwigo wa alama ulibadilika badilika
kulingana na hali ya matokeo ilivyokuwa kwa mwaka husika. Lakini kuanzia
mwaka 2012, Serikali iliamua kutumia mfumo wa Upangaji wa Alama Mgando
(Fixed Grade Range) kwa Kidato cha Nne na Kidato cha Sita. Katika
mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2012 Baraza lilitumia mfumo huu wa alama
mgando ambapo: A = 80 – 100, B = 65 – 79, C = 50 – 64, D = 35 – 49, F =
0 – 34. Kwa upande wa Kidato cha Sita Baraza lilitumia mfumo wa A = 80 –
100; B = 75 - 79; C = 65 – 74; D = 55 – 64; E = 45 – 54; S = 40 – 44 na
F = 0 – 39. Mifumo hii ya Baraza haikuwa inafahamika kwa wadau na hivyo
kuwa sehemu ya malalamiko katika sekta ya elimu na mafunzo.</span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<b style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></b></span><div class="MsoNormal" style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; margin: 0in 0.3pt 6pt 0in; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span>Vilevile,
Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 1995 imeelekeza kwamba katika kuamua
kiwango cha ufaulu wa mwanafunzi wa elimu ya sekondari, Alama za CA
zitachangia asilimia hamsini (50%) na Mtihani wa mwisho utachangia
asilimia hamsini (50%). Kwa upande wa Zanzibar, CA zimekuwa zikiandaliwa
kwa mfumo wa asilimia arobaini (40%) na mtihani wa mwisho asilimia
sitini (60%). Pamoja na kwamba Baraza halijawahi kuutumia mifumo hii
tangu ilipowekwa, kumekuwa na mitazamo, maoni na mapendekezo tofauti
katika muundo na matumizi ya alama za CA. Kuna mawazo pia kwamba mfumo
wa CA kuchangia matokeo ya mwisho ya mwanafunzi pia utumike kwa
watahiniwa wa kujitegemea (<i>private candidates</i>).</span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span><div class="MsoNormal" style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; margin: 0in 0.3pt 6pt 0in; text-align: center;">
</div>
<span style="font-size: large;">
</span><div class="MsoNormal" style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; margin: 0in 0.3pt 6pt 0in; text-align: center;">
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span> Kwa
sasa matokeo ya mitihani ya watahiniwa hawa yamekuwa yakitumia alama za
mtihani wa mwisho tu na hivyo kutafsiriwa kama utaratibu ambao
unamwonea mwanafunzi ambaye anahamu ya kujiendeleza kielimu lakini
anakwama kwa sababu mfumo unaotumika siyo rafiki kwa mtahiniwa.</span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div class="MsoNormal" style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; margin: 0in 0.3pt 6pt 0in; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span>Kwa mantiki hii, Wizara imedhamiria kufanya <i>harmonization</i> ya
masuala ya alama katika mitihani ya Kidato cha Nne na Kidato cha Sita
ili kupata muundo mmoja na ulio wazi kwa wadau wote wa elimu ya
sekondari. Lakini pia serikali imedhamiria kuhakikisha tathmini za
wanafunzi katika ngazi mbalimbali zinakwenda sambamba na matarajio ya
mitaala inayotumika na ambayo inahuishwa mara kwa mara ili iendane na
wakati na mahitaji ya elimu katika ngazi mbalimbali.</span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif; line-height: 17.6px;"><span style="color: windowtext;">VIWANGO NA UTARATIBU KUANZIA MWAKA 2013 KWA KIDATO CHA NNE NA</span></b><b style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif; line-height: 17.6px;"><span style="color: windowtext;"> MWAKA 2014 KIDATO CHA SITA</span></b></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Baada
ya kufanya tathmini ya maoni mbalimbali ya wadau, misingi ifuatayo
ilizingatiwa katika maamuzi kuhusu makundi ya alama na muachano wake:</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-bottom: 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">a) </span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Alama zitakazotumika zitakuwa </span>A<span lang="DE" style="font-weight: normal;">,</span> B, C<span lang="DE" style="font-weight: normal;">,</span> D<span lang="DE" style="font-weight: normal;">,</span> E<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> na </span>F<span lang="DE" style="font-weight: normal;">.
Muachano wa alama kati ya kundi moja hadi jingine utafanana, isipokuwa
tu pale ambapo itaonekana kuna sababu na hakuna athari za kuwa na
muachano tofauti na ule ambao umetumika katika makundi mengine.</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-bottom: 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">b) </span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Makundi ya alama hayatakuwa na <i>clusters</i> isipokuwa
pale ambapo itaonekana kufanya hivyo kunaleta tija katika kupata picha
ya wahitimu kwa ajili ya matumizi mbalimbali. Kwa mantiki hii</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-left: 1in; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">(i) makundi ya alama </span>A<span lang="DE" style="font-weight: normal;">,</span> C<span lang="DE" style="font-weight: normal;">,</span> D<span lang="DE" style="font-weight: normal;">,</span> E<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> na </span>F<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> yabaki na <i>cluster</i> moja moja bali kundi la alama </span>B<span lang="DE" style="font-weight: normal;">litakuwa na <i>clusters</i> mbili.
Kundi la kwanza litakuwa la wale ambao wamepata alama kati ya 50 mpaka
59 na litaitwa B na lingine litakuwa la wale ambao wamevuka uwigo wa 50
hadi 59 na kuelekea uwigo wa 60 hadi 74 na hili litaitwa B+ (angalia
jedwali hapo chini).</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-left: 1in; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><br /></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-left: 1in; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">(ii) Pamoja na kuwa na muachano wa alama 26 kama jedwali linavyoonesha hapo chini, alama </span>A<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> kwa
miaka mingi imekuwa ikianzia alama 75 hadi 100 na kwamba pamoja na
uwigo huo bado wanaofaulu kwa kiwango hicho ni wachache sana. Kwa
mantiki hii, hakuna haja ya kubadilisha uwigo ila juhudi ziendelee
katika ufundishaji na ujifunzaji ili kiwango cha ufaulu kiongezeke na
kupata wanafunzi wengi zaidi wanaofaulu katika kundi hili.</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-left: 1in; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><br /></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-left: 1in; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">(iii)
Pia, pamoja na kuwa na muachano wa alama 20 kama jedwali
linavyoonesha hapo chini kwa miaka mingi, huko shuleni mwanafunzi
aliyepata alama 21 na hadi 30 alihesabiwa kuwa na ufaulu wa chini kabisa
au hafifu kwa kiwango cha alama </span>D <span lang="DE" style="font-weight: normal;">na ingawa ilikubalika ufaulu wa aina hiyo kwa mazingira ya nchi yetu unaridhisha. Alama </span>F<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> ilikuwa ni kwa wale waliopata chini ya hapo. Hivyo, alama </span>F<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> itaendelea kuwepo na itaanzia alama 0 hadi 19 na </span>E<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> itaanzia alama 20 hadi 29 na </span>D<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> –
30 -39. Lengo la muundo huu ni kuwa alama mbalimbali, isipokuwa kwa
makundi machache, zianzie kwenye 0 yaani 0, 10, 20, 30, 40 na kuendelea
badala ya kuanzia kwenye moja yaani 1, 11, 21, 31, 41 na kuendelea. Hii
ni kwa ajili ya kuleta mtizamo unaofanana katika ngazi mbalimbali za
elimu ambapo kwa sasa ngazi ambazo siyo za elimu msingi na sekondari
zinatumia muundo wa kuanzia kwenye 0 badala ya 1. </span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-left: 1in; text-align: center;">
</div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">c) </span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Uwigo
wa jumla wa alama kwa Kidato cha Nne na Kidato cha Sita utaendelea kuwa
wa alama 0 hadi 100 na kila kundi katika uwigo huu limepewa tafsiri kwa
ajili ya kuamua mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya mwanafunzi
kulingana na malengo ya mtihani husika. Kimsingi, tafsiri zifuatazo
zitakatumika</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; text-align: center;">
</div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-left: 1in; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">(i) Alama </span>A<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> itakuwa na maana ya ufaulu uliojipambanua (<i>distincion or outstanding performance</i>),</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-left: 1in; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">(ii) Alama </span>B+<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> itakuwa na maana ya ufaulu bora sana (<i>excellent performance</i>),</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-left: 1in; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">(iii) Alama </span>B<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> itakuwa na maana ya ufaulu mzuri sana ( <i>very good perfomance</i>),</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-left: 1in; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">(iv) Alama </span>C<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> itakuwa na maana ya ufaulu mzuri (<i>good performance</i>);</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-left: 1in; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">(v) Alama </span>D<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> itakuwa na maana ya ufaulu wa wastani (<i>low performance),</i></span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-left: 1in; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><i><span lang="DE" style="font-weight: normal;">(vi) </span></i><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Alama </span>E<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> itakuwa na maana ya ufaulu hafifu (very low performance), na</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-left: 1in; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">(vii) Alama </span>F<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> itakuwa na maana ya ufaulu usioridhisha (<i>unsatisfactory performance</i>). </span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-left: 1in; text-align: center;">
</div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Wataalamu
katika maeneo mbalimbali ya elimu na ulimwengu wa kazi, kwa
kushirikiana na Wizara, watatoa maana ya tafsiri hizi kiutendaji katika
maeneo yao kulingana pia na mahitaji yao.</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; text-align: center;">
</div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-bottom: 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">d) </span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Alama </span>C<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> iwe ndiyo alama ya ufaulu mzuri ambao hauhitaji urekebu wa lazima, wakati alama </span>D<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> na </span>E<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> ni
alama za ufaulu unaohitaji urekebu kadri mwanafunzi atakavyokuwa
anaendelea na masomo ili kuthibitisha kama mlengwa anaweza na kulingana
na mahitaji ya eneo husika (<i>targeted remediation</i>). Alama </span>F<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> iwe alama ya eneo linalohitaji urekebu wa hali ya juu (<i>intesive remediation</i>) ili mwanafunzi huyo aweze kumudu masomo kadri anavyoendelea kukua kielimu ama atakapoingia katika ulimwengu wa kazi.</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-bottom: 6pt; text-align: center;">
</div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-bottom: 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">e) </span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Makundi ya alama yatajumuisha </span>CA<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> kwa
kiwango cha asilimia isiyozidi 40 na mtihani wa mwisho kwa asilimia
isiyozidi 60 kwa makundi yote ya watahiniwa ikiwemo wale wa kujitegemea (<i>private candidates</i>). Hii ni kwa kuzingatia kwamba </span>CA<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> siyo vizuri izidi uwigo wa alama ya ufaulu mzuri unapoanzia ambayo ni </span>C<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> au 40.</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-bottom: 6pt; text-align: center;">
</div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-bottom: 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">f) </span>CA<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> kwa
upande wa Kidato cha Nne zitokane na mtihani wa Kidato cha Pili (alama
15), matokeo ya Kidato cha Tatu (alama 5 kwa kila muhula, na hivyo
jumla ya alama 10), mtihani wa Mock (alama 10) na kazi mradi au<i>Project</i>s (alama 5). Kwa upande wa Kidato cha Sita, </span>CA<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> iendelee kutokana na muundo unaotumika sasa.</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-bottom: 6pt; text-align: center;">
</div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-bottom: 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">g) </span>CA<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> zitumike pia kwa watahiniwa wa kujitegemea. Kwa upande wa watahiniwa wa kujitegmea ambao wanarudia Mitihani, </span>CA<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> zao
zitumike zile zilizotumika kutoa matokeo yake ya mitihani ya awali.
Kwa watahiniwa wa kujitegemea waliopitia mfumo wa Qualifying Test (</span>QT<span lang="DE" style="font-weight: normal;">), matokeo ya </span>QT<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> yatumike kama </span>CA<span lang="DE" style="font-weight: normal;"> na mtihani wa mwisho uchangie alama 60.</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-bottom: 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">h) </span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Kwa
vile alama endelevu kwa mwaka 2013 kwa wanafunzi wa Kidato cha Nne
tayari zimeshawasilishwa Baraza la Mitihani Tanzania, alama hizo
zichangie asilimia 40 katika mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2013.</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-bottom: 6pt; text-align: center;">
</div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-bottom: 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">i) </span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Muundo wa wastani wa alama katika ufaulu (<i>Grade Points Average</i> ama
GPA) utaandaliwa na kuanza kutumika pale utakapokuwa tayari na wadau
wataelimishwa kuhusu muundo huo ili wapate kuufahamu na manufaa yake
katika elimu ya sekondari.</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-bottom: 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">j) </span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Muundo
huu mpya wa alama utatumika kwa mzunguko wa miaka minne kabla
haujahuishwa tena ili kuupa muda wa kutosha kuona aina ya changamoto
zinazojitokeza na jinsi ya kuzishughulikia. Aina hii ya muda itaruhusu
vidato vinne vya elimu ya sekondari ya kawaida na nane ya elimu ya
sekondari ya juu kupimwa. Hata hivyo, uhusihaji wa masuala ya mitihani
unaweza ukafanyika iwapo matokeo ya uhuishaji wa mitaala kwa ujumla
utahitaji pia eneo la mitihani liguswe na kuhuishwa pia.</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-bottom: 6pt; text-align: center;">
</div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Kwa mantiki hii, viwango vya alama na ufaulu ni kama inavyooneshwa kwenye jedwali la 1 hapa chini:</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
</div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>Jedwali Na 1</b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>MUUNDO WA ALAMA NA UFAULU</b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><table border="1" cellpadding="0" cellspacing="0" style="border-collapse: collapse; border: medium none; font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; margin-left: auto; margin-right: auto;"><tbody>
<tr><td style="border: 1pt solid windowtext; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 121.5pt;" valign="top" width="162"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span>ALAMA</span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: solid solid solid none; border-width: 1pt 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 1.5in;" valign="top" width="144"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span>UWIGO WA ALAMA</span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: solid solid solid none; border-width: 1pt 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 1.25in;" valign="top" width="120"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span>IDADI YA ALAMA</span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: solid solid solid none; border-width: 1pt 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 2in;" valign="top" width="192"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span>TAFSIRI</span></span></span></b></span></div>
</td></tr>
<tr><td style="border-style: none solid solid; border-width: medium 1pt 1pt; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 121.5pt;" valign="top" width="162"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">A</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 1.5in;" valign="top" width="144"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">75 - 100</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 1.25in;" valign="top" width="120"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">26</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 2in;" valign="top" width="192"><div align="left" style="margin: 0in 0in 6pt;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Ufauli Uliojipambanua</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td></tr>
<tr><td style="border-style: none solid solid; border-width: medium 1pt 1pt; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 121.5pt;" valign="top" width="162"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">B+</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 1.5in;" valign="top" width="144"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">60 - 74</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 1.25in;" valign="top" width="120"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">15</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 2in;" valign="top" width="192"><div align="left" style="margin: 0in 0in 6pt;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Ufaulu bora sana</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td></tr>
<tr><td style="border-style: none solid solid; border-width: medium 1pt 1pt; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 121.5pt;" valign="top" width="162"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">B</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 1.5in;" valign="top" width="144"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">50- 59</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 1.25in;" valign="top" width="120"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">10</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 2in;" valign="top" width="192"><div align="left" style="margin: 0in 0in 6pt;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Ufaulu mzuri sana</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td></tr>
<tr><td style="border-style: none solid solid; border-width: medium 1pt 1pt; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 121.5pt;" valign="top" width="162"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">C</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 1.5in;" valign="top" width="144"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">40 - 49</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 1.25in;" valign="top" width="120"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">10</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 2in;" valign="top" width="192"><div align="left" style="margin: 0in 0in 6pt;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Ufaulu mzuri</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td></tr>
<tr><td style="border-style: none solid solid; border-width: medium 1pt 1pt; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 121.5pt;" valign="top" width="162"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">D</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 1.5in;" valign="top" width="144"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">30 - 39</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 1.25in;" valign="top" width="120"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">10</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 2in;" valign="top" width="192"><div align="left" style="margin: 0in 0in 6pt;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Ufaulu Hafifu</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td></tr>
<tr><td style="border-style: none solid solid; border-width: medium 1pt 1pt; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 121.5pt;" valign="top" width="162"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">E</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 1.5in;" valign="top" width="144"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">20 - 29</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 1.25in;" valign="top" width="120"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">10</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 2in;" valign="top" width="192"><div align="left" style="margin: 0in 0in 6pt;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Ufaulu hafifu sana</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td></tr>
<tr><td style="border-style: none solid solid; border-width: medium 1pt 1pt; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 121.5pt;" valign="top" width="162"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">F</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 1.5in;" valign="top" width="144"><div style="margin: 0in 0in 6pt 25.65pt;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">0 - 19</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 1.25in;" valign="top" width="120"><div align="center" style="margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">20</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 2in;" valign="top" width="192"><div align="left" style="margin: 0in 0in 6pt;">
<span style="font-size: large;"><b><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Ufaulu usioridhisha</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></span></span></span></b></span></div>
</td></tr>
</tbody></table>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Kwa
aina hii ya muundo wa alama, na kwa kuwa muundo wa GPA utaanza
kuandaliwa na wadau kuelimishwa kabla haujaanza kutumika, katika kipindi
hiki mpaka wakati huo, muundo wa madaraja utakuwa kama inavyooneshwa
kwenye jedwali la 2 hapa chini.</span></b></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>Jedwali Na 2</b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>MUUNDO WA MADARAJA</b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><table border="1" cellpadding="0" cellspacing="0" style="border-collapse: collapse; border: medium none; font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; margin-left: auto; margin-right: auto; width: 640px;"><tbody>
<tr><td colspan="2" style="border: 1pt solid windowtext; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 140.05pt;" valign="top" width="187"><div align="center" class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>MUUNDO WA ZAMANI</b></span></span></span></span></div>
</td><td colspan="2" style="border-style: solid solid solid none; border-width: 1pt 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 145.65pt;" valign="top" width="194"><div align="center" class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>MUUNDO MPYA</b></span></span></span></span></div>
</td><td rowspan="2" style="border-style: solid solid solid none; border-width: 1pt 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 194.6pt;" valign="top" width="259"><div align="center" class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>MAELEZO</b></span></span></span></span></div>
</td></tr>
<tr><td style="border-style: none solid solid; border-width: medium 1pt 1pt; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 62.1pt;" valign="top" width="83"><div align="center" class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>POINTI</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 77.95pt;" valign="top" width="104"><div align="center" class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>DARAJA</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 56.7pt;" valign="top" width="76"><div align="center" class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>POINTI</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 88.95pt;" valign="top" width="119"><div align="center" class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>DARAJA</b></span></span></span></span></div>
</td></tr>
<tr><td style="border-style: none solid solid; border-width: medium 1pt 1pt; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 62.1pt;" valign="top" width="83"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>7-17</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 77.95pt;" valign="top" width="104"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>1</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 56.7pt;" valign="top" width="76"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>7-17</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 88.95pt;" valign="top" width="119"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>I</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 194.6pt;" valign="top" width="259"><div align="left" style="margin: 0in 0in 6pt;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Kundi la ufaulu uliojipambanua na bora sana</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></b></span></span></span></span></div>
</td></tr>
<tr><td style="border-style: none solid solid; border-width: medium 1pt 1pt; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 62.1pt;" valign="top" width="83"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>18-21</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 77.95pt;" valign="top" width="104"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>II</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 56.7pt;" valign="top" width="76"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>18-24</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 88.95pt;" valign="top" width="119"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>II</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 194.6pt;" valign="top" width="259"><div align="left" style="margin: 0in 0in 6pt;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Kundi la ufaulu mzuri sana</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></b></span></span></span></span></div>
</td></tr>
<tr><td style="border-style: none solid solid; border-width: medium 1pt 1pt; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 62.1pt;" valign="top" width="83"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>22-25</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 77.95pt;" valign="top" width="104"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>III</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 56.7pt;" valign="top" width="76"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>25-31</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 88.95pt;" valign="top" width="119"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>III</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 194.6pt;" valign="top" width="259"><div align="left" style="margin: 0in 0in 6pt;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Kundi la ufaulu mzuri na wa wastani</span><span lang="DE" style="font-weight: normal;"></span></b></span></span></span></span></div>
</td></tr>
<tr><td style="border-style: none solid solid; border-width: medium 1pt 1pt; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 62.1pt;" valign="top" width="83"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>26-33</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 77.95pt;" valign="top" width="104"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>IV</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 56.7pt;" valign="top" width="76"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>32-47</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 88.95pt;" valign="top" width="119"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>IV</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 194.6pt;" valign="top" width="259"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>Kundi ufaulu hafifu</b></span></span></span></span></div>
</td></tr>
<tr><td style="border-style: none solid solid; border-width: medium 1pt 1pt; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 62.1pt;" valign="top" width="83"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>34-35</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 77.95pt;" valign="top" width="104"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>0</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 56.7pt;" valign="top" width="76"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>48-49</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 88.95pt;" valign="top" width="119"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>V</b></span></span></span></span></div>
</td><td style="border-style: none solid solid none; border-width: medium 1pt 1pt medium; font-family: arial,sans-serif; margin: 0px; padding: 0in 5.4pt; width: 194.6pt;" valign="top" width="259"><div class="MsoNormal" style="margin: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: large;"><span style="color: red;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>Kundi la ufaulu usioridhisha</b></span></span></span></span></div>
</td></tr>
</tbody></table>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div class="MsoNormal" style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; margin: 0px; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><br /></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div class="MsoNormal" style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; margin: 0px; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>Wataalamu
wa mifumo ya mitihani watalifanyia kazi zaidi jedwali hili la madaraja
ili liweze kutumika kwa ufanisi katika kipindi hiki cha mpito.</b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="EN-GB" style="font-weight: normal;">Kwa
mantiki hii, Daraja Sifuri linafutwa na kuwekwa daraja litakalojulikana
kama Daraja la Tano na ambalo litakuwa ndilo la mwisho kabisa katika
ufaulu.</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>HITIMISHO<span lang="EN-GB" style="font-weight: normal;"></span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Mabadiliko
haya yamefanyika ili kuendelea kuimarisha mfumo wetu wa elimu na kuweka
wazi taratibu mbalimbali kwa ajili ya mitihani na masuala mengine. Yako
mambo mengi mengine ambayo hayana budi kuendelea kuimarishwa ikiwemo
mfumo wa mitaala, walimu, mazingira ya kujifunzia na kufundishia pamoja
na vitabu na vifaa vingine muhimu katika elimu. Masuala haya yanaendelea
kuangaliwa kupitia mikakati mbalimbali ikiwemo mpango wa Matokeo
Makubwa Sasa ama <i>Big Results Now</i> (BRN). Ushirikiano wa wadau wote
ili kuleta tija kwenye elimu ni muhimu sana na hivyo wizara itaendelea
kuwashirikisha wadau wote kwa kadri itakavyohitajika na wadau pia
wanaombwa wasiache kuishirikisha wizara pale watakapokuwa na jambo
lolote ambalo linahitaji ushirikiano ili kwa pamoja tuweze kupata
mafanikio katika sekta ya elimu.</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><b style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span lang="DE" style="font-weight: normal;">Imetolewa,</span></b></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span></span></span></span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin: 0in 0in 6pt; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b>KATIBU MKUU</b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span><div style="font-family: Georgia,Helvetica,Arial,sans-serif; line-height: normal; margin-left: 0in; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,'Times New Roman',serif;"><span><b><span lang="DE" style="font-weight: normal;">WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI</span></b></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<span class="post-author vcard">
</span></span>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-68453305442787885752013-07-10T11:11:00.001-07:002013-07-10T11:13:19.446-07:00Waliochaguliwa kidato cha tano 2013 hawa hapa<div class="post-header">
</div>
<br />
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><b></b></span><br />
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><b></b></span><br />
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><b></b></span><br />
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><b></b></span><br />
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><b></b></span><br />
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><b></b></span><br />
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><b></b></span><br />
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><b><a href="http://1.bp.blogspot.com/-dCQUOhFKYmg/Ud1QuVAfa_I/AAAAAAAAi1E/fdyR3Ss3aFI/s1600/MULUGO.png" style="background-color: white; color: #357798; line-height: 16.796875px; margin-left: 1em; margin-right: 1em; text-align: justify; text-decoration: none;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: 'Times New Roman',serif;"></span><span style="font-family: 'Times New Roman',serif;"></span></span>
<span style="font-size: medium;">
</span>
<br />
</a></b></span><br />
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;"><b><span style="color: #272e34; font-family: 'Times New Roman',serif;">Maelekezo kwa
waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano, vyuo ufundi na chuo
cha 'manegement' na maendeleo ya maji</span><span style="font-family: 'Times New Roman',serif;"></span></b></span></div>
<span style="font-size: medium;">
</span>
<ul type="disc">
<li class="MsoNormal" style="text-align: justify;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: 'Times New Roman',serif;"><b>Wanafunzi Kuripoti katika shule
walizopangwa</b></span><span style="font-family: 'Times New Roman',serif;">.</span><span style="font-family: 'Times New Roman',serif;">Muhula wa kwanza kwa wanafunzi wa
Kidato cha Tano kuanzia mwaka huu 2013 itaanza mwezi Julai. Wanafunzi
wamepangwa katika shule zenye miundombinu na walimu kwa masomo husika. Aidha,
kama baadae upungufu utajitokeza, wakuu wa shule wameelekezwa kufanya taratibu
za kuazima walimu wa muda na kutoa taarifa kwa uongozi wa halmashauri husika
kuhusu upungufu wa walimu uliopo.</span></span></li>
</ul>
<span style="font-size: medium;"></span><div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;"><span style="font-family: 'Times New Roman',serif;">Kwa nafasi hii, ninaagiza wanafunzi
wote kuripoti katika shule walizopangwa tarehe 29 Julai, 2013. Kama </span><span style="font-family: 'Times New Roman',serif;">kutakuwa na sababu yoyote ya
msingi ya kuhamia shule nyingine, uhamisho wa kawaida utafanywa baada ya
kuripoti shuleni kupitia kwa mkuu wa shule husika, Mkurugenzi wa
Halmashuri/Manispaa na Katibu Tawala wa Mkoa. (Wizara haitabadilisha shule
walizopangwa wanafunzi)</span></span></div>
<span style="font-size: medium;">
</span>
<ul type="disc">
<li class="MsoNormal" style="text-align: justify;"><span style="font-size: medium;"><b><span style="font-family: 'Times New Roman',serif;">Wanaporipoti wanatakiwa kuwa
na:Original Result slip na Living Cerificate</span></b></span></li>
</ul>
<span style="font-size: medium;">
</span>
<span style="font-size: medium;">
</span>
<br />
<div style="font-family: 'Open Sans',arial,sans-serif,times,garamond,serif,tahoma;">
<span style="font-size: medium;"><span style="font-family: Times,Times New Roman,serif; text-align: justify;"><a href="http://www.wavuti.com/uploads/3/0/7/6/3076464/wavulana_-_alphabelical_list_2013.pdf" style="text-align: justify;" target="_blank">wavulana hapa</a></span></span></div>
<span style="font-size: medium;">
</span>
<span style="font-size: medium;">
</span>
<span style="font-size: medium;">
</span>
<br />
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: medium;"><a href="http://www.wavuti.com/uploads/3/0/7/6/3076464/wasichana_-_alphabelical_list_2013.pdf" target="_blank"><span style="font-family: Times,Times New Roman,serif;">wasichana hapa</span></a></span></div>
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><b><a href="http://1.bp.blogspot.com/-dCQUOhFKYmg/Ud1QuVAfa_I/AAAAAAAAi1E/fdyR3Ss3aFI/s1600/MULUGO.png" style="background-color: white; color: #357798; line-height: 16.796875px; margin-left: 1em; margin-right: 1em; text-align: justify; text-decoration: none;"><img border="0" src="http://1.bp.blogspot.com/-dCQUOhFKYmg/Ud1QuVAfa_I/AAAAAAAAi1E/fdyR3Ss3aFI/s1600/MULUGO.png" style="border: 0px solid rgb(204, 204, 204); padding-top: 4px;" /></a><span style="background-color: white; color: #333333; line-height: 16.796875px; text-align: justify;"> </span></b></span></div>
<br />
<span style="font-size: medium;"><a href="http://www.wavuti.com/uploads/3/0/7/6/3076464/wasichana_-_alphabelical_list_2013.pdf" target="_blank"><span style="font-family: Times,Times New Roman,serif;"></span></a></span>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-78410238862220309192013-06-10T07:25:00.000-07:002013-06-10T07:25:16.989-07:00Wanafunzi Kidato cha Siota Ileje walilia walimuNa Ibrahim Yasin, Ileje<br />WANAFUNZI wa kidato cha tano na sita wa Sekondari ya kutwa Ileje wamelalamikia kitendo cha walimu wao kushindwa kuingia darasani.<br /><br />Akizungumza na Tanzania Daima, mmoja wa wanafunzi hao ambaye hakutaka kutajwa jina lake alisema kuwa walimu wamekuwa wavivu wa kuingia kwenye vipindi, ambapo tangu Januari hadi sasa (Juni) mwalimu mmoja ameingia darasani mara tatu.<br /><br />Chanzo hicho kilisema kuwa walimu wa masomo ya kawaida hawafundishi huku wakidai kuwapo kwa uhaba wa walimu wa sayansi ambapo imekuwa vigumu kujifunza kulingana na hali halisi ya mazingira ya shule hiyo.Kwa upande wake Mkuu wa Shule hiyo, Gwakisa Mwakyeja, alikiri kuwapo kwa tatizo la walimu shuleni hapo na kudai kuwa atafuatilia kwa kina maendeleo ya shule hiyo.<br /><br />Mwakyeja alisema kuwa tatizo lililopo katika shule hiyo ni kuwa na walimu wachache, hivyo wanajitahidi kufanya kila mbinu kuhakikisha wanafunzi hao wanapata vipindi kila siku.<br /><br />“Tatizo la walimu kwa shule hii lipo pia kwa nchi nzima, hivyo ni tatizo la kitaifa, hivyo nimeshukuru hata kupewa hawa walimu japo ni wachache na nitazidi kukabiliana na changamoto hiyo kuhakikisha kuwa tunawapatia elimu ya kutosha,” alisema Mwakyeja.<br /><br />Hata hivyo Ofisa Elimu Sekondari, Jimmy Nkwamu, alisema itabidi kuwa na upembuzi wa kindani ili kuweza kuwabaini walimu wanaotoroka darasani huku wakichukua mshahara kila mwisho wa mwezi.<br />Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-68540853518364406272013-06-10T07:18:00.002-07:002013-06-10T07:18:59.045-07:00Shule yenye miaka 42 haina vyoo
<br />
<img alt="" class="photo_article" src="http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/1877802/highRes/525307/-/maxw/600/-/uyhflvz/-/shule.jpg" />
<div id="photo_article_caption">
Mwalimu wa Shule ya Msingi ya Kibirashi iliyopo Wilaya ya Kilindi mkoani
Tanga akionyesha choo cha muda kinachotumiwa na wanafunzi wa shule
hiyo. Picha na Pamela Chilongola
</div>
<div id="articlemeta">
<br />NILIJARIBU kuangaza huku na kule kutafuta choo
kilipo ili nikajisaidie mara kushoto kwangu nakutana na kibanda
kilichojengwa na nyasi huku wanafunzi wakiwa wamepanga foleni kuingia
katika kibanda hicho.</div>
<div>
Wakati nikijaribu kutafakari mbele yangu nakutana
na mwalimu wa Shule ya Msingi ya Kibirashi iliyopo Wilaya ya Kilindi
ambaye jina lake hakutaka kulitaja anasema, hicho ni choo cha wanafunzi
ambacho wanajisaidia.</div>
<div>
Ni miaka 42 imefika tangu Shule ya Msingi ya
Kibarashi iliyopo wilayani Kilindi Mkoa wa Tanga kujengwa mwaka 1971
ikiwa haina vyoo vya kudumu hivyo uongozi wa shule wa wakati huo
walilazimika kuchimba vyoo vya muda ili wanafunzi na walimu waweze
kutumia.</div>
<div>
Mkuu wa Shule ya Msingi hiyo, Fatuma Mahimbo
anasema tokea mwaka 1971 shule hiyo ilipojengwa walimu na wanafunzi
wanaendelea kutumia vyoo vya muda ambavyo ni hatari kwa usalama wa
maisha yao.</div>
<div>
Mahimbo anasema wanafunzi wapo zaidi ya 700 na
walimu wa shule hiyo wanatumia vyoo vya muda vilivyochimbwa na uongozi
wa shule hiyo.</div>
<div>
Mahimbo anasema ameripoti shuleni hapo mwaka 2010
na kuikuta hali ya huduma ya vyoo ni mbaya, ambapo mwaka 2011 alijaribu
kuomba fedha ya ujenzi wa vyoo hivyo kwenye Halmashauri ya Kilindi na
kuelezwa kuwa mwaka huo wa fedha haijapangiwa kwenye bajeti.</div>
<div>
““Mwaka 1971 shule hii ilijengwa bila ya kujengwa
vyoo vya kudumu hivyo mimi hali hiyo nimeikuta nilikuja mwaka 2012
nimekikuta choo kilichopo hakifai kutumika hivyo tulilazimika kujenga
choo cha nyasi kiweze kutumiwa na wanafunzi, huku walimu wakitumia choo
kilichopo nyumbani kwangu ambayo ni nyumba ya walimu,”anasema Mahimbo.</div>
<div>
Mahimbo anasema walikaa kikao cha kamati ya shule
hiyo na kukubaliana suala hilo lipelekwe kwenye Serikali ya kijiji ili
iweze kuwasaidia.</div>
<div>
Anaeleza baada ya kuwasilisha suala hilo kwenye
Serikali ya kijiji iliamua kujenga vyoo viwili kila kimoja kina matundu
matano. Hivyo ujenzi huo umeishia kwenye linta kutokana na Serikali ya
kijiji hicho kuishiwa fedha.</div>
<div>
“Ujenzi huu umesimama mwaka 2012 hivyo tumekaa
kikao na wazazi na tumekubaliana kila mzazi atachangia Sh2000 kuanzia
Julai mwaka huu”anasema Mahimbo.</div>
<div>
Mahimbo anasema kutokana na hali hiyo aliyaomba
mashirika na taasisi mbalimbali yajitokeze yaweze kusaidia ujenzi wa
vyoo vya shule ili kuokoa afya za wanafunzi ambazo zipo hatarini na hata
jamii inayowazunguka kupata magonjwa ya milipuko.</div>
<div>
Anasema jamii haina mwamko wa elimu hawatambui
suala la kuchangia ujenzi wa choo linawahusu wao wanadhani suala hilo
ni la mwalimu mkuu hivyo wanatakiwa kuchangia fedha ili ujenzi wa vyoo
hivyo ukamilike.<br />
<br />Pia anasema kuna mchezo wa umeibuka kwa wazazi wenye watoto wa darasa la saba wanawashawishi watoto wao wasifanye bidii darasani ili wakae nyumbani kwa kukwepa gharama ya sekondari.<br /><br />Tatizo hilo limekuwa sugu tumejaribu kukaa vikao vya mara kwa mara na wazazi ili waweze kuwahimiza watoto wao wajisomee ili waweze kuwa kwenye nafasi nzuri ya kuchaguliwa kidato cha kwanza.<br /><br />“Pia kuna Shirika la Kikristo la Misaada ya Binadamu (WVT) ambalo linasaidia kutoa elimu ili wazazi waachane na hii dhana potofu ya kumkataza mtoto asifahulu kwa kiasi kikubwa wazazi wameanza kubadilika,” alisema Mahimbo.<br /><br />Wanafunzi wakianza shule wanakuwa zaidi ya 70 wanapofika darasa la saba idadi inapungua na kufikia 25 hivyo wengi wao wanakuwa nyumbani kuwasaidia wazazi wao kazi za shamba na hata wengine wanaolewa wakiwa na umri mdogo sana.<br /><br />Meneja Mradi wa Afya ya Mama na Mtoto wa Shirika la Kikristo la Misaada ya Binadamu(WVT), Daudi Gumbo anasema wanatoa elimu katika jamii ili waweze kuwahamasisha watoto wao waende shuleni ili kuondokana na umaskini.<br /><br />Gumbo anasema imekuwa ni kawaida kwa wazazi na walezi kujali uchangiaji wa harusi na sherehe nyinginezo huku wakisahau uchangiaji wa elimu hiyo.<br /><br />“Kazi yetu tunatoa elimu katika jamii ili kuwahamasisha jamii kuchangia elimu pale inapohitajika na tunatembelea shule mbalimbali kuangalia matatizo yaliyopo mfano Tarafa ya Mgela tumetoa vitabu mbalimbali, madawati na tumejenga madarasa ya shule,” alisema Gumbo.<br /><br />Mkuu wa Wilaya hiyo Selemani Liwowa anasema tatizo la ukosefu wa vyoo hivyo bado halijawafikia hivyo wanalifuatilia na kuthibitisha waweze kupata ufumbuzi.<br /><br />Anasema mikakati ya wilaya hiyo ni kuondoa kero zinazozikabili shule mbalimbali ikikwemo madawati, ujenzi wa madarasa hivyo Shirika la WVT wamesaidia kwa kiasi kikubwa kujenga vyumba vya madarasa kwenye shule mbalimbali.<br /><br /> “Hilo tatizo hatujalipata rasmi hivyo tunalifuatilia na kuthibitisha ili tuweke mikakati ya jinsi gani ya kuondokana na tatizo hilo,”alisema Liwowa.<br />
<b>Chanzo:Mwananchi</b></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-6920123318932273672013-06-10T01:17:00.001-07:002013-06-10T01:24:33.697-07:00<span style="font-size: large;"></span>
<span style="font-size: large;">
<a href="http://www.blogger.com/null" name="292214078245766050"></a>
</span><br />
<h3 class="post-title entry-title">
<span style="font-weight: normal;"><span style="font-size: large;"><a href="http://michuzijr.blogspot.com/2013/06/somki-fursa-ya-udhamini-kwa-ajili-ya.html">
SOMKI - FURSA YA UDHAMINI KWA AJILI YA WANAFUNZI WA KIKE WENYE VIPAJI LAKINI HAWAJIWEZI
</a></span></span>
</h3>
<span style="font-size: large;">
</span><br />
<div class="postmeta-primary">
<span style="font-size: large;"><span class="meta_date">
</span></span>
</div>
<span style="font-size: large;">
</span>
<br />
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhLsY4yl8lH-AAn75qBCCtUbCNQFcx-27K9A6jrhwR9b2BgQ7M_48K6rHMgwemy0ZSQJlBQcgLe2RxKBfr_P1jQhyphenhyphen73XtRF8QMHzVT9SZeSiNBVyrglwA5r1o9pdIsdZ74C1Z0aQf5gCSw/s1600/logo.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="241" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhLsY4yl8lH-AAn75qBCCtUbCNQFcx-27K9A6jrhwR9b2BgQ7M_48K6rHMgwemy0ZSQJlBQcgLe2RxKBfr_P1jQhyphenhyphen73XtRF8QMHzVT9SZeSiNBVyrglwA5r1o9pdIsdZ74C1Z0aQf5gCSw/s400/logo.jpg" width="400" /></a></span></div>
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;">Tunayo furaha
kuwafahamisha kuwa kuna nafasi za udhamini kwa ajili ya wanafunzi wa kike wenye
vipaji lakini wasiojiweza, chini ya Mradi wa Somesha Mtoto wa Kike (SOMKI).
Mradi wa SOMKI unaleta utofauti katika maisha ya wanafunzi wa kike wa Tanzania
wanaoishi katika mazingira magumu na wasiojiweza na ambao wameonyesha vipaji
maalum au imeonekana kuwa na uwezo wa kufanya vizuri katika masomo yao na
kufikia viwango vya juu au daraja la kwanza katika mitihani yao. </span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;">Udhamini huu ni kwa
ajili ya kuhakikisha kwamba hawaathiriki na hali yao ya kimaisha ya sasa na
kwamba wanaweza kupata fursa ya kubadilisha maisha na kuwa na maisha bora.
Baada ya mchakato wa uhakiki na tathmini ya uhitaji itawapa walengwa fursa ya
kupata elimu na kuwapunguzia mazingira magumu wanayoishi na kujisomea.</span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;">Tunaelewa kuwa katika
shule yenu au utakuwa na taarifa kuwa kuna wanafunzi wanaostahili kupata nafasi
hii. Kwa barua hii tunaomba uweze kusambaza taarifa hii na kuhamasisha wale
wanaostahili kutuma maombi yao. Tafadhali nafasi hizi hutolewa mara moja tu kwa
mwaka. Maombi haya yako wazi hadi kufikia tarehe 30 Desemba 2013, kwa ajili ya
wanafunzi watakaodhaminiwa kitaaluma na Mradi wa SOMKI kwa mwaka 2014.</span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;">Maombi yatumwe kwenye
anuani iliyopo hapo chini. Na kwa maelezo zaidi msisite kututafuta kwa anuani
iliyopo hapo chini na namba ya simu.</span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span>
<div align="center" class="MsoFooter" style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: "Century Gothic","sans-serif";"><br /></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span>
<div align="center" class="MsoFooter" style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;">Mlalakuwa, Mikocheni, </span></span>
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;">Plot No: 36 B, </span></span>
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;">P.O. Box
71821, </span><br />
<span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;"> Dar es Salaam, Tanzania </span></span>
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;">Email: <a href="mailto:sophiamkana@yahoo.com">sophiamkana@yahoo.com</a>, </span></span>
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;">Tel: +255-0656 647 280</span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;"><br /></span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;">Wenu mtiifu,</span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<span style="font-size: large;">
</span>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;"> </span></span><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;">Jane M</span></span></span></div>
<span style="font-size: large;">
<br />
</span><br />
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;">
</span><span style="line-height: 115%;"><span style="font-size: large;"><span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif;">Mratibu wa Mradi </span></span><span style="font-family: 'Century Gothic', sans-serif; font-size: x-small;"></span></span></div>
<div class="post-share-buttons">
<a class="goog-inline-block share-button sb-email" href="http://michuzijr.blogspot.com/2013/06/&target=email" target="_blank" title="Email This">
<span class="share-button-link-text"><br /></span></a><a class="goog-inline-block share-button sb-facebook" href="http://michuzijr.blogspot.com/2013/06/&target=facebook" target="_blank" title="Share to Facebook"><span class="share-button-link-text"></span>
</a>
<br />
<div class="goog-inline-block dummy-container">
</div>
</div>
<div class="post-share-buttons">
<a class="goog-inline-block share-button sb-email" href="http://michuzijr.blogspot.com/2013/06/&target=email" target="_blank" title="Email This">
<span class="share-button-link-text">Chanzo: JIACHIE</span></a><a class="goog-inline-block share-button sb-facebook" href="http://michuzijr.blogspot.com/2013/06/&target=facebook" target="_blank" title="Share to Facebook"><span class="share-button-link-text"></span>
</a>
<br />
<div class="goog-inline-block dummy-container">
</div>
</div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-16079864971293203272013-06-10T01:14:00.000-07:002013-06-10T01:14:06.362-07:00Walimu Ukerewe kuandamana kisa madeni<br />CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Ukerewe, mkoani Mwanza kinakusudia kuitisha maandamano ya amani ili kushinikiza serikali kuwalipa watumishi wa halmashauri ya wilaya hiyo mshahara wa mwezi uliopita.<br /><br />Shinikizo hilo la CWT linakuja baada ya watumishi 2,500 wa kada tofauti wakiwemo walimu kutolipwa mshahara wao wa mwezi uliopita hadi kufikia jana.<br /><br />Katibu wa CWT Wilaya ya Ukerewe, John Kafimbi alisema kuwa wanachama wake ambao ni walimu na hata watumishi wa kada nyingine, tayari wameishiwa uvumilivu na wapo tayari kufanya maandamano ya amani ya kudai haki yao.<br /><br />Mwenyekiti wa CWT wa wilaya hiyo, Pastory Kabelinde, alisema ni jambo la kusikitisha kuona serikali inashindwa kutimiza wajibu wake, hasa kwa kutowalipa mhahara wa watumishi wa mwezi uliopita hadi sasa.<br /><br />Alisema suala hilo mbali ya kuwavunja moyo watumishi, pia linakiuka haki za binadamu kwa vile hivi sasa watumishi hao na familia zao wanashindwa kupata mahitaji muhimu kama vile chakula.<br /><br />Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Godlive Nnko alikiri kuwepo kwa tatizo hilo na kuwaomba watumishi hao kuwavumilivu wakati suala hilo likishughulikiwa.<br /><br />Alisema hakuna sababu ya kufanya maandamano hayo kwa kuwa tatizo lililokuwepo limekwisha, na kuongeza kuwa kuanzia mwanzo mwa wiki ijayo mshahara wao utalipwa. <br />Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-46248248616512650162013-06-10T01:12:00.002-07:002013-06-10T01:24:57.154-07:00BAVICHA kuendesha kongamano la Elimu<div class="text1">
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><img height="285" id="il_fi" src="http://www.ippmedia.com/media/picture/large/deo-munishi-feb22-2013.jpg" style="margin-left: auto; margin-right: auto; padding-bottom: 8px; padding-right: 8px; padding-top: 8px;" width="400" /></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Katibu Mkuu wa BAVICHA</td></tr>
</tbody></table>
BARAZA la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA)
limeandaa kongamano la kujadili elimu na mustakabali wa taifa
linalofanyika leo mjini Dodoma katika Ukumbi wa Kilimani.<br />
Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa BAVICHA, Deo Munishi, kongamano hilo
limelenga kuwapa nafasi wanafunzi wa shule za msingi, sekondari na vyuo
vyote mkoani humo kujadili matatizo na namna serikali itakavyoweza
kujinasua katika janga hilo.<br />
Munishi alisema wameamua kuitisha kongamano hilo baada ya kubaini kuwa
moja ya matatizo makubwa yanayowakabili vijana nchini kwa muda mrefu
sasa, ni ukosefu wa elimu bora inayokidhi viwango.<br />
“Tumebaini kuwa tuna elimu isiyowaandaa vijana kuwa wataalamu kutokana
na mahitaji halisi ya jamii yetu…BAVICHA imeamua kufanya kongamano hili
ili ufumbuzi wa tatizo hili uweze kupatikana,” alisema Munishi.<br />
Aliongeza kuwa kongamano hilo litakalowashirikisha walimu na
wahadhiri, litajikita katika kuchambua namna mfumo wa uendeshaji na
usimamizi wa sekta ya elimu unavyosababisha kuporomoka kwa sekta hiyo
nyeti, na kisha kujadili njia mbadala za kusaidia kuondokana na vikwazo
hivyo.<br />
Katibu Mkuu huyo alisema mara baada ya uchambuzi wa hoja
zitakazoibuliwa wakati wa mjadala wa kongamano hilo, BAVICHA
itawasilisha maoni yake kwa uongozi wa CHADEMA Taifa kama sehemu ya
mchango wa vijana nchini katika kuboresha sera ya elimu.</div>
<br />
<div align="center">
<img height="1" src="http://www.freemedia.co.tz/daima/images/h.sep3.gif" width="109" /></div>
<div class="blue text1">
<br /></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-91372238820110431322013-05-17T23:49:00.001-07:002013-05-17T23:49:48.616-07:00Dk Hosea aichangia Shule ya Sekondari Sh Mil. 10<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><img alt="http://3.bp.blogspot.com/-_zulXoZDlto/UGp3VbIUgQI/AAAAAAAAJCw/IhvsYRq0XCE/s1600/6.jpeg" class="decoded" height="311" src="http://3.bp.blogspot.com/-_zulXoZDlto/UGp3VbIUgQI/AAAAAAAAJCw/IhvsYRq0XCE/s400/6.jpeg" style="margin-left: auto; margin-right: auto;" width="400" /></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Dk Hosea</td></tr>
</tbody></table>
<br />
<br />MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini Dk. Edward Hosea ametoa sh milioni 10 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya maabara katika shule ya sekondari ya Binza iliyoko wilayani Maswa, Simiyu.<br /><br />Akikabidhi fedha hizo jana kwa niaba yake Katibu Tawala wa wilaya ya Maswa, Danford Peter, mbele ya wanafunzi na walimu wa shule hiyo katika sherehe iliyofanyika shuleni hapo alisema hiyo ni utekelezaji wa ahadi aliyoitoa mwaka jana alipokutana na wazee wa mji huo.<br /><br />Alisema kuwa Desemba 25 mwaka jana Dk. Hosea alikutana na baadhi ya wazee wa Nyalikungu yalipo makao makuu ya wilaya hiyo na mambo mengine walimwomba kusaidia ununuzi wa vifaa vya maabara katika shule hiyo.<br /><br />“Dk. Hosea alipofika hapa kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu ya Krismasi mwaka jana alionana na wazee wa mji huu na mazungumzo mengine walimwomba kusaidia ununuzi wa vifaa vya maabara na leo ametimiza ahadi yake na tunakabidhi hundi ya sh milioni 10 kwa uongozi wa shule ya Binza,” alisema.<br /><br />Alisema kuwa kupatikana kwa vifaa hivyo kutawasaidia wanafunzi hao kujifunza kwa vitendo masomo ya sayansi ambayo mara nyingi hawayapendi kutokana na kutokuwepo kwa vifaa vya maabara.<br /><br />Naye mkuu wa TAKUKURU wilayani hapa Daniel Ntera aliutaka uongozi wa shule hiyo kuzitumia fedha hizo kama ilivyokusudiwa na kwamba ofisi hiyo itafuatilia.<br /><br />Akipokea hundi hiyo, mkuu wa shule ya Binza, Focus Nshiyiki, alimshukuru Dk. Hosea na kuahidi kuzitumia fedha hizo kama ilivyokusudia kwa kufuata kanuni, taratibu na sheria za manunuzi ya umma.<br />Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-63987709127260189492013-05-17T23:22:00.002-07:002013-05-17T23:22:32.174-07:00Wanafunzi zaidi ya 7000 waliofaulu wakacha shule Karagwe<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><img alt="http://www.ippmedia.com/media/picture/large/dc.jpg" class="decoded" height="285" src="http://www.ippmedia.com/media/picture/large/dc.jpg" style="margin-left: auto; margin-right: auto;" width="400" /></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Darry Rwegarira</td></tr>
</tbody></table>
JUMLA ya wanafunzi 7,338 hawakujiunga katika shule mbalimbali za sekondari za kata wilayani Karagwe, Kagera katika kipindi cha mwaka 2010 hadi 2012.<br /><br />Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Darry Rwegasira alibainisha hayo jana alipokuwa akiwatuhumu madiwani wa halmashauri hiyo kwenye Ukumbi wa Rafiki wa Angaza uliopo wilayani hapa.<br /><br />Alisema wanafunzi hao hawakujiunga na elimu ya sekondari pamoja na kufaulu mtihani wa taifa katika kipindi hicho.<br /><br />“Tuwaandalie watoto wetu urithi wa elimu kuliko tabia zilizopo za kuchangia harusi na kuwasahau watoto ambao ndio watakaolikomboa taifa hili kwa nyanja zote,” alisema Rwegasira.<br /><br />Alibainisha katika mwaka 2010 wanafunzi waliochaguliwa walikuwa 5,150. Kati ya hao 1,177 hawakuripoti shuleni, mwaka 2011 wanafunzi 5,107 walichaguliwa na 2,155 hawakuripoti shule na katika mwaka 2012 kati ya 8,871 wanafunzi 4,006 hawakuripoti shuleni.<br /><br />Hata hivyo, alisema shule nyingi za sekondari katika wilaya hiyo hazina miundombinu iliyodumu kutokana na baadhi ya wazazi kutokuwa na mwamko wa kuchangia maendeleo ya shule na kuongeza kuwa kata ambazo hazina sekondari za kata zimekuwa na tatizo katika kuchangia maendeleo ya shule za kata zilizo jirani.<br />Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-65255014780595598152013-05-17T23:18:00.001-07:002013-05-17T23:18:11.645-07:00CWT yaonywa na Asasi wa Wataalamu wa Ualimu<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><img alt="http://in2eastafrica.net/wp-content/uploads/2012/03/Gratian-Mukoba.jpg" class="decoded" height="376" src="http://in2eastafrica.net/wp-content/uploads/2012/03/Gratian-Mukoba.jpg" style="margin-left: auto; margin-right: auto;" width="400" /></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Rais wa CWT, Gratian Mukoba</td></tr>
</tbody></table>
TAASISI ya Mtandao wa Wataalamu wa Ualimu Nchini (TTN) unaoshughulikia masuala ya sheria, imekionya Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kufuata taratibu na sheria zote ili kumnufaisha mwalimu.<br /><br />Onyo hilo lilitolewa jana na Mwenyekiti wa TTN, Faray Alfred, alipozungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza kuhusiana na ukiukwaji wa sheria unaofanywa na CWT dhidi ya mwalimu.<br /><br />Alfred alisema tangu CWT isajiliwe kisheria miaka ya 1992, imekuwa ikikiuka baadhi ya sheria za mfanyakazi wa taaluma ya ualimu, hivyo kusababisha walimu wengi kutonufaika na kazi ya chama hicho cha walimu.<br /><br />Alisema tangu kuanzishwa kwake hadi sasa, CWT haiweki wazi mapato na matumizi kwa wanachama wake, ikiwa ni pamoja na kutokuwa na takwimu halisi za walimu ambao ni wanachama hai na mawakala wa ada, jambo linalotilia shaka uendeshwaji wa chama hicho.<br /><br />“Uchunguzi uliofanywa na TTN umebaini CWT inakiuka sheria nyingi za nchi na Katiba ya Jamhuri ya Muungano. Kwanza inamkata mwalimu ada ya asilimia mbili pale anapoajiriwa bila ridhaa yake.<br /><br />“Pili, CWT hawana mfumo wa kueleza mapato na matumizi, wala hawawaelezi wanachama wao kuhusu matumizi. Hili ni tatizo lazima timu ya TTN ambayo imesajiliwa kisheria mwaka jana itoe onyo kwa CWT,” alisema Alfred.<br /><br />Kwa upande wake, mratibu wa TTN, Tungaraza Njugu alisema kwamba utendaji mbovu wa CWT ndiyo unaosababisha taaluma ya ualimu kushuka, kwani walimu wenyewe wameanza kukata tamaa.<br /><br />“TTN tumesajiliwa kwa ajili ya kulinda na kutetea haki sheria za walimu. Kwa sasa tunafanya kampeni ya kuwaelimisha walimu jinsi CWT inavyowatendea ndivyo sivyo,” alisema.<br />
<br />
Chanzo:Tanzania DaimaAnonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-82762655074098360822013-05-14T12:51:00.001-07:002013-05-14T12:51:44.379-07:00Wanawake wahimizwa kutumia mitandao kutangaza biashara zao<br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><img class="align-center" height="308" src="http://api.ning.com/files/CFRpP7InnGtcxBYSuolnBsjrifjISYvRLCsNfxc4BxLrhgGnAIwL4sKEyle8T2Fe5-chmGIN2ovKY7ivWGCxoAqxOLEePkNq/007.Dare.JPG?width=650" style="margin-left: auto; margin-right: auto;" width="400" /></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Mkurugenzi wa kampuni Dare to Dream, Bi Emelda Mwamaga</td></tr>
</tbody></table>
<br />
WANAWAKE wajasiriamali wameshauriwa kutumia mitandao ya kijamii kutangaza biashara zao badala ya kuitumia kufanya mambo yasiyo na maana.<br />
<br />Ushauri huo ulitolewa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki na Meneja wa Vodacom Foundation, Grace Lyon, katika mkutano wa tano wa uchumi wa wanawake wajasiriamali.<br /><br />Akizungumza katika mkutano huo uliondaliwa na Kampuni ya Dare To Dream alisema: “Ni vizuri wafanyabiashara wakatumia mitandao ya kijamii ipasavyo katika kutangaza biashara zao sambamba na huduma ya M-pesa kwa ajili ya kuokoa muda wa kupanga foleni kwenye benki, mwanamke mjasiriamali akiwa mtumiaji wa huduma hii anakuwa katika hali ya usalama zaidi kwa fedha zake,” alisema Lyon.<br /><br />Alisema huduma hiyo hivi sasa imepanuka kiasi cha kutoa huduma zaidi ya 200, hivyo alitumia fursa hiyo kuwahamasisha wanawake wote nchini kujiunga.<br /><br />Mkutano huo uliowakutanisha wanawake wajasiriamali uliambatana na mafunzo mbalimbali ya kukuza biashara pamoja na maonesho ya bidhaa mbalimbali.<br />Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7914876407256651543.post-31241195349841932092013-05-14T12:33:00.002-07:002013-05-14T12:44:16.903-07:00Jinsi Wanamakuka 2013 tulivyoshiriki semina ya wajasiliamali wanawake iliyofanyika jijini Dar<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhIPuN5QtvmMcF0l0luwMICj_WxrTv097kyLb7FAzJBm8JnsT74yk7v4zjyojb5joF1NWIidObTVHdVBwqCFx_N-WATDBUBTapDjg1YG4n0SFlbcrXg-sfdW2uxIptNOoF-2pbblA6Qs5xB/s1600/Semina+(1).jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhIPuN5QtvmMcF0l0luwMICj_WxrTv097kyLb7FAzJBm8JnsT74yk7v4zjyojb5joF1NWIidObTVHdVBwqCFx_N-WATDBUBTapDjg1YG4n0SFlbcrXg-sfdW2uxIptNOoF-2pbblA6Qs5xB/s640/Semina+(1).jpg" width="480" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Wanamakuka wenzangu, Aziza Mbogulume na Theonestina wakiwa makini kwenye semina hiyo ya Jumamosi</td><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><br /></td></tr>
</tbody></table>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><img border="0" height="266" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgRPq0cdOENmOSWFA26-zD3Vr1tqqIpJgXDTSx3VkQNfLi0Wqzr6E8YOqLb30G3F2GETPtLJv3e-oI4xbg8anQ0jQFzilF4qW_L3wqsdtaFVAWIAI59JMV7KM3frfZfPMoMEIh7vyGQgBU/s400/1.JPG" style="margin-left: auto; margin-right: auto;" width="400" /></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Hawa ni baadhi ya jopo la waandaaji wa Tuzo ya Mwanamakuka. Wa pili toka kulia ni Bi. Mariam Shamo aliyetuwezesha kuhudhuria semina hiyo.</td></tr>
</tbody></table>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhIwvug1iTpNtN8C38VAkM6C_xCg5qUlhzv57IoX6FpQMYXy1tIU1FR2uFo6rpOnXR_jYftukeB_rW7hUWhHL-DiIIb3da4v6_iCvkyQnyNZ7D9KU_KuAKb0_kfIQAB03l42NgkFPTWabx8/s1600/Mwanamakuka.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="288" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhIwvug1iTpNtN8C38VAkM6C_xCg5qUlhzv57IoX6FpQMYXy1tIU1FR2uFo6rpOnXR_jYftukeB_rW7hUWhHL-DiIIb3da4v6_iCvkyQnyNZ7D9KU_KuAKb0_kfIQAB03l42NgkFPTWabx8/s400/Mwanamakuka.jpg" width="400" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Mimi na mshindi wa tatu wa tuzo za mwanamakuka Theonestina (kati) na mshindi wa kwanza Aziza Mbogulume (kulia) tukiwa katika pozi. </td></tr>
</tbody></table>
<br />
JUMAMOSI mimi pamoja na Wanamakuka wenzangu tulioshinda mwaka huu wa 2013 tulikuwa miongoni mwa wanawake wajasiriamali tuliohudhuria mkutano na semina ya wajasiriamali iliyoandaliwa na kampuni ya Dare to Dream na kudhaminiwa na kampuni za Vodacom na Benki ya CRDB.<br />
Ushiriki wetu katika semina hiyo iliyoambatana na maonyesho ya bidhaa za wajasiriamali wenzetu wa ndani na nje ya mkoa wa Dar uliwezeshwa na Mratibu wa Tuzo za Mwanamakuka, Bi. Mariam Shamo kutoka Umoja wa Wanawake Marafiki (UWF).<br />
Kwa hakika tuliweza kujifunza vitu vingi ambavyo kabla ya semina na mkutano huo hatukuwa tunafahamu, hivyo mimi binafsi na kwa niaba ya wanamakuka wa 2013 tunamshukuru mno Bi Mariam na jopo zima la UWF, bila kuwasahau kampuni ya siku Airtel ambayo ilidhamini zawadi ya ushindi wangu wa pili.Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/07571906424832954185noreply@blogger.com0