Sunday 31 March 2013

AIRTEL, UWF WALIPONIWEZESHA KUWA MWANAMAKUKA 2013


Nilipokuwa nakabidhiwa mfano wa hundi ya ushindi wangu namba mbili waTuzo za Mwanamakuka na Afisa uhusiano wa Airtel Jane Matinde (kulia) Wanaoshuhudia kushoto ni  Mke wa Makamu wa Rais,  Asha Bilali na Mwenyekiti  wa Unit of Women Friends(UWF) Esther Wakati. picture 2 
Afisa Uhusiano wa Airtel Jane Matinde (kulia) akinikabidhi mfano wa hundi ya ushindi wangu wa pili wa Tuzo za Mwanamakuka 2013. Wanaoshuhudia (kulia katikati) ni Mwenyekiti  wa Unit of Women Friends (UWF) Esther (kushoto) Msimamizi wa tuzo hizo Mariam Shamo akifuatiwa na Mke wa Makamu wa Rais, Asha Bilal. picture 5 
Waandaaji na wadhamini wa Tuzo za Mwanamakuka 2013 wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Mke wa Makamu wa Rais, Asha Bilali wakati wa sherehe za tuzo hizo zilizofanyika Machi 8, 2013.

No comments:

Post a Comment