Wanawake hawapaswi kuwa wanyonge |
Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi, Mratibu wa shirika lisilo la kiserikali Caritas linajihusisha na utoaji wa miradi mbalimbali kwa kina mama, Glads Oning’o, alisema mwanamke ni nguzo ya familia, hivyo wajishughulishe ili kuzisaidia familia zao.
Alisema shirika hilo lina miradi ya kuwakopesha fedha kina mama pamoja na mradi wa kilimo, ili waweze kujikomboa, kuondokana na hali tegemezi.
No comments:
Post a Comment